CCM inamhitaji Kinana kuliko Kinana anavyoihitaji CCM

CCM inamhitaji Kinana kuliko Kinana anavyoihitaji CCM

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Kwanza ana uzoefu wa muda mrefu, ni Gwiji wa zile mbinu alizosema Mh Nape.

Ameshika nafasi zifuatano ktk zile nyingi
1. Mwandamizi ktk Jeshi la JWTZ
2. Naibu Waziri wa Ulinzi
3. Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

Kwenye chama amewahi kuwa
1. Memba Halmashauri kuu NEC
2. Memba Kamati Kuu CC
3. Katibu Mkuu CCM Taifa.

Huyu Bwana alijiuzulu Mwaka 2018 sababu ikitajwa kuwa ni umri na kwamba amechoka. Anahitaji kupumzika.

Ktk kuthibitisha huyu jamaa ni muhimu sana kwa CCM kuliko CCM ilivyo muhimu kwake akarudishwa tena kama Makamu Mwenyekiti Taifa.

Na sasa amestaafu kwa sababu zile zile za umri na kutaka kupumzika.
 
Kwanza ana uzoefu wa muda mrefu, ni Gwiji wa zile mbinu alizosema Mh Nape.

Ameshika nafasi zifuatano ktk zile nyingi
1. Mwandamizi ktk Jeshi la JWTZ
2. Naibu Waziri wa Ulinzi
3. Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

Kwenye chama amewahi kuwa
1. Memba Halmashauri kuu NEC
2. Memba Kamati Kuu CC
3. Katibu Mkuu CCM Taifa.

Huyu Bwana alijiuzulu Mwaka 2018 sababu ikitajwa kuwa ni umri na kwamba amechoka. Anahitaji kupumzika.

Kto kuthibitisha huyu jamaa ni muhimu sana kwa CCM kuliko CCM ilivyo muhimu kwake akarudishwa tena kama Makamu Mwenyekiti Taifa.

Na sasa amestaafu kwa sababu zile zile za umri na kutaka kupumzika.
Wakati mwingine muache kuongea msivyovijua. Hisia tu unaanza kuandika. CCM sasa haimuhitaji Kinana ila Kinana ndiye anaihitaji CCM ili biashara zake zisikwame.
 
Kwanza ana uzoefu wa muda mrefu, ni Gwiji wa zile mbinu alizosema Mh Nape.

Ameshika nafasi zifuatano ktk zile nyingi
1. Mwandamizi ktk Jeshi la JWTZ
2. Naibu Waziri wa Ulinzi
3. Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

Kwenye chama amewahi kuwa
1. Memba Halmashauri kuu NEC
2. Memba Kamati Kuu CC
3. Katibu Mkuu CCM Taifa.

Huyu Bwana alijiuzulu Mwaka 2018 sababu ikitajwa kuwa ni umri na kwamba amechoka. Anahitaji kupumzika.

Kto kuthibitisha huyu jamaa ni muhimu sana kwa CCM kuliko CCM ilivyo muhimu kwake akarudishwa tena kama Makamu Mwenyekiti Taifa.

Na sasa amestaafu kwa sababu zile zile za umri na kutaka kupumzika.
We zombi
images.jpeg-162.jpg
 
Kwanza ana uzoefu wa muda mrefu, ni Gwiji wa zile mbinu alizosema Mh Nape.

Ameshika nafasi zifuatano ktk zile nyingi
1. Mwandamizi ktk Jeshi la JWTZ
2. Naibu Waziri wa Ulinzi
3. Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

Kwenye chama amewahi kuwa
1. Memba Halmashauri kuu NEC
2. Memba Kamati Kuu CC
3. Katibu Mkuu CCM Taifa.

Huyu Bwana alijiuzulu Mwaka 2018 sababu ikitajwa kuwa ni umri na kwamba amechoka. Anahitaji kupumzika.

Kto kuthibitisha huyu jamaa ni muhimu sana kwa CCM kuliko CCM ilivyo muhimu kwake akarudishwa tena kama Makamu Mwenyekiti Taifa.

Na sasa amestaafu kwa sababu zile zile za umri na kutaka kupumzika.
Mwenye barua ya kujiuzulu kwa Cde Kinana anitumie!
 
Wakati mwingine muache kuongea msivyovijua. Hisia tu unaanza kuandika. CCM sasa haimuhitaji Kinana ila Kinana ndiye anaihitaji CCM ili biashara zake zisikwame.
Kwa hiyo wafanya biashara woote lazima wapitie ccm?
 
Back
Top Bottom