CCM inamhitaji Kinana kuliko Kinana anavyoihitaji CCM

CCM inamhitaji Kinana kuliko Kinana anavyoihitaji CCM

Kwanza ana uzoefu wa muda mrefu, ni Gwiji wa zile mbinu alizosema Mh Nape.

Ameshika nafasi zifuatano ktk zile nyingi
1. Mwandamizi ktk Jeshi la JWTZ
2. Naibu Waziri wa Ulinzi
3. Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

Kwenye chama amewahi kuwa
1. Memba Halmashauri kuu NEC
2. Memba Kamati Kuu CC
3. Katibu Mkuu CCM Taifa.

Huyu Bwana alijiuzulu Mwaka 2018 sababu ikitajwa kuwa ni umri na kwamba amechoka. Anahitaji kupumzika.

Ktk kuthibitisha huyu jamaa ni muhimu sana kwa CCM kuliko CCM ilivyo muhimu kwake akarudishwa tena kama Makamu Mwenyekiti Taifa.

Na sasa amestaafu kwa sababu zile zile za umri na kutaka kupumzika.
Ni kitu gani cha ajabu alikifanya kwenye taifa letu?
 
Mtu kama alikua ana staarf mnamrudisha inamaana mnauhitaji nae sana.
Usikaze kichwa CCM haijawah kuamini katika rasilimali vijana ilio nao huo ndio ukweli..so bado inamhitaji KINANA na sio wewe Na kadi yako.
Ungejua kuwa namfahamu Kinana Personallyna alishakuwa boss wangu. Ni hivi CCM kwa sasa haimuhitaji Kinana ila Kinana anaihitaji CCM
 
Mtu kama alikua ana staarf mnamrudisha inamaana mnauhitaji nae sana.
Usikaze kichwa CCM haijawah kuamini katika rasilimali vijana ilio nao huo ndio ukweli..so bado inamhitaji KINANA na sio wewe Na kadi yako.
kinana alishawai kuwa makamu mwenyekt akastaafu akarudishwa?
 
Kwanza ana uzoefu wa muda mrefu, ni Gwiji wa zile mbinu alizosema Mh Nape.

Ameshika nafasi zifuatano ktk zile nyingi
1. Mwandamizi ktk Jeshi la JWTZ
2. Naibu Waziri wa Ulinzi
3. Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

Kwenye chama amewahi kuwa
1. Memba Halmashauri kuu NEC
2. Memba Kamati Kuu CC
3. Katibu Mkuu CCM Taifa.

Huyu Bwana alijiuzulu Mwaka 2018 sababu ikitajwa kuwa ni umri na kwamba amechoka. Anahitaji kupumzika.

Ktk kuthibitisha huyu jamaa ni muhimu sana kwa CCM kuliko CCM ilivyo muhimu kwake akarudishwa tena kama Makamu Mwenyekiti Taifa.

Na sasa amestaafu kwa sababu zile zile za umri na kutaka kupumzika.

Makamu ametuambia hakuna mtu au nafasi isiyiweza kuzibika. Mkikaa mmtetulia mkumbuke hilo. Hakuna anayeweza kudhani ni irreplaceble
 
Kwanza ana uzoefu wa muda mrefu, ni Gwiji wa zile mbinu alizosema Mh Nape.

Ameshika nafasi zifuatano ktk zile nyingi
1. Mwandamizi ktk Jeshi la JWTZ
2. Naibu Waziri wa Ulinzi
3. Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

Kwenye chama amewahi kuwa
1. Memba Halmashauri kuu NEC
2. Memba Kamati Kuu CC
3. Katibu Mkuu CCM Taifa.

Huyu Bwana alijiuzulu Mwaka 2018 sababu ikitajwa kuwa ni umri na kwamba amechoka. Anahitaji kupumzika.

Ktk kuthibitisha huyu jamaa ni muhimu sana kwa CCM kuliko CCM ilivyo muhimu kwake akarudishwa tena kama Makamu Mwenyekiti Taifa.

Na sasa amestaafu kwa sababu zile zile za umri na kutaka kupumzika.
Mtoa post sijui katika pori gani!
 
Wengi walioko bara hawaangalii hili swala kwa jicho la tatu..

Wakati umefika wabara waone karibu kunakucha tutunze rasilimali za bara
 
Back
Top Bottom