Uchaguzi 2020 CCM inapaswa kuchukua hatua na kujibu hoja: Je, Maisha ya wananchi yameboreka kwa miaka mitano iliyopita?

Cha msingi iwe njia ya wazi ambayo watanzania wataridhika. Hofu yangu ni pale maridhio yasipokuwepo. Wote tunaipenda nchi yetu kwa mustakabali wetu na wa vizazi vyetu vya baadae.
Dalili kuna watu wataenda the Hague this time
 
Kupita bila kupingwa zote ni lzm zitarudiwa na sio kuwanyima wananchi haki ya kuchagua
 
Hao wananchi unaowaongelea wanajali sasa wao muhimu CCM iendeleee kuwepo tu
 
Maisha kuboreka au kuharibika ni uamuzi binafsi wa mtu mwenyewe. Kama msemo usemavyo.. unaweza kumpeleka punda mtoni ila huwezi kumlazimisha kunywa maji.

Swali lingekua, serikali imeweka miundombinu thabiti ya mtu kujikwamua? Hapo jibu ni Ndiyo.
Pamoja na hayo Sera zinachangia kupelekea watu kujikwamua check wenzetu ulaya Sera zao ni mtelezo kwa wananchi wao ,sasa kama mtawala anawasomesha watu namba ili wawe masikini ili aabudiwe.

Check mfano wakulima wa korosho wameporwa korosho zao wamekaa nazo miaka 3 then wanawarudishia korosho zao eti zimesinyaa.Wanaochomoka kimaisha ni mmoja mmoja sisi tunasema majority ili uwainue ni lzm uweke Sera wezeshi
 
Hao wananchi unaowaongelea wanajali Sasa wao muhimu ccm iendeleee kuwepo tu
Masikini ndio Mtaji mkuu wa ccm,makomunist,wajamaa,madikteta wote duniani ukisoma falsafa MTU akiwa masikini upungukiwa na akili sababu ya kuzongwa na shida MTU akiwa mjinga uamini propaganda ukiwa masikini ni lzm uwe mjinga,haya ya kununua ndege badala ya matrekta wanayajua na wanafanya makusudi,trekta mtazalisha mtaondokana na umasikni ukiondokana na umasikini utakuwa mwerevu ukiwa mwerevu watakosa kura yako utazijua haki zako,ukizijua haki zako ccm itakufa ccm ikifa means wapiga dili wa ccm watakufa njaa.
 
Mfumo wa tozo la TRA umewatoa wengi kwenye biashara hasa watu wa kipato cha wastani.
Import duty 100% ukiagiza gari la mtumba Japan Tanzania wanapiga pesa ndefu kuzi hata Toyota waliotengeza hayo magari.
 
GUSSIE,

Mtoa mada acha kuwa muongo na mpotoshaji. Mkulima gani alilipwa pesa na jeshi la wananchi? Jeshi lilipewa kazi ya kusafirisha tu. Na serikali ilikuwa na nia nzuri kabisa ya kusaidia wakulima ambao madalali wa korosho walitaka kuwadhurumu bei. Kila mkulima alilipwa kupitia account yake. Na hii ndio ilikuwa sababu ya malipo kuchelewa sababu uhakiki wa majina ya wakulima na account zao ulichukua muda sababu baadhi yao walikuw ni wadanganyifu na wengine account zao zilikuwa na matatizo.

Acha kuwa muongo pia juu ya suala la TRA kutoa agency notice. Unataka kusema agency notice imetolewa mikoa ya kaskazini tu? Na hiyo notice ina mamlaka gani kuingilia uhuru wa mwenye akaunti bank kuhusu pesa zake. Naomba utuwekee nakala tuisome hapa.

Hoja za mashangazi na majimbo unazotoa ni utoto na upuuzi. Maana mpaka sasa CCM ina uhakika kuchukua majimbo yote. Tayari jimbo la Mtama wameshachukua. Huyo Bwege anaweza asirudi. Kwa hiyo unapoleta hoja kama hizi uwe na facts maana watanzania wa leo wanataka facts sio porojo.
 

Ulaya kuna masikini, ombaomba na homeless kibao pamoja na miundombinu kuwa in place. Ndo maana nasema kujikwamua ni uamuzi wa mtu.

CityLab University: Understanding Homelessness in America
 
Kama hayajaboreka Lisu amgekuwa anafanya kampeni kwa ndege ya kukodi ya pesa alizochangiwa na wanachadema?
Si amgekuwa anatembea kwa miguu kufanya kampeni
Isije kuwa wewe ndie jiwe mwenyewe?kila kitu ndege hemu acha ushamba.
 
Sisi Chadema tunatuma Maombi Maalum kwa Mgombea Urais wa CCM Mzee Daktari bingwa wa kemia duniani Bwana Magufuli Kukubali Kuwa na MDAHALO na Mgombea Urais Wa Chadema Kamanda Tundu Lissu ili Kushindanisha SERA na Mitazamo Yao kwa Nchi Yetu Live kwenye TV na Redio Zote za Duniani na Wananchi Wote Watasikiliza!:
 
Jiangalie usitekwe , Muulize Mangula kilichompata.
 
Wewe ni muungwana
 
Maisha yaliyoboreka ni ya Mayanga Construction(wamwana), Dotto James na wengine wachache.
 
Wasiwasi wako tu, huko kusini ni ngome zao hao na ndizo wanafanyia mbwembwe kungine ni kujidanganya tu.
Waache wajidai wapo kwao nyumbani wala usitishike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…