CCM inapaswa kukataliwa kwa nguvu zote

CCM inapaswa kukataliwa kwa nguvu zote

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Tunapokosea watanzania ni kuendelea kuruhusu CCM ibaki madarakani kwa muda mrefu zaidi. Mfumo wowote wa uongozi ukibaki madarakani muda mrefu matokeo yake ni kujisahau na kufanya mambo kwa mazoea.

Watanzania tunapaswa kuangalia alama za nyakati, ni wakati wa kuondokana na CCM kwa namna yoyote ile vinginevyo tutakuwa tumechelewa.
 
Tunapokosea watanzania ni kuendelea kuruhusu CCM ibaki madarakani kwa muda mrefu zaidi. Mfumo wowote wa uongozi ukibaki madarakani muda mrefu matokeo yake ni kujisahau na kufanya mambo kwa mazoea.

Watanzania tunapaswa kuangalia alama za nyakati, ni wakati wa kuondokana na CCM kwa namna yoyote ile vinginevyo tutakuwa tumechelewa.

 
Tatizo sio kuitoa ccm madarakani shida iliyopo ukitoa ccm dhamana ya nchi unampa Nani?kwa aina ya wapinzani waliopo tunaongopeana bora tu ibakie ccm iyo iyo
 
Tunapokosea watanzania ni kuendelea kuruhusu CCM ibaki madarakani kwa muda mrefu zaidi. Mfumo wowote wa uongozi ukibaki madarakani muda mrefu matokeo yake ni kujisahau na kufanya mambo kwa mazoea.

Watanzania tunapaswa kuangalia alama za nyakati, ni wakati wa kuondokana na CCM kwa namna yoyote ile vinginevyo tutakuwa tumechelewa.
Tukiiondoa CCM kwa haraka kutokana na hasira tuu, aje nani kwenye nafasi yake?.
Nashauri Watanzania tutafute. Kwanza mbadala wa CCM, ndipo tuifungashe virago, bila Tanzania kuwa na mbadala wa CCM, CCM bado ipo sana!.
P
 
Tukiiondoa CCM kwa haraka kutokana na hasira tuu, aje nani kwenye nafasi yake?.
Nashauri Watanzania tutafute. Kwanza mbadala wa CCM, ndipo tuifungashe virago, bila Tanzania kuwa na mbadala wa CCM, CCM bado ipo sana!.
P
Hakuna la pekee hata wewe waweza kuanzisha chama na kikafanya vizuri kuliko CCM. Unajua kinachohitajika ni kuondokana na mfumo CCM uliokwisha kukaa muda mrefu mno kwenye madaraka na sasa unafanya kazi kwa mazoea. Nilifikiri waelewa wote wataona kwanini CCM ilipaswa kuondoka tangu jana.
 
Tunapokosea watanzania ni kuendelea kuruhusu CCM ibaki madarakani kwa muda mrefu zaidi. Mfumo wowote wa uongozi ukibaki madarakani muda mrefu matokeo yake ni kujisahau na kufanya mambo kwa mazoea.

Watanzania tunapaswa kuangalia alama za nyakati, ni wakati wa kuondokana na CCM kwa namna yoyote ile vinginevyo tutakuwa tumechelewa.
N kwamba weng wanaharakat watz n maskin so wanapgania ugali za familia zao wakipata nafas wanajtajirsha kwanza alaf baadae anakimbilia ulaya kwaiyo upzan mm naona kama kmvuli ya watu wengne kujitajirsha kwaiyo mkuu ww unatakiwa kujenga hatma ya kzaz chako
 
Tunapokosea watanzania ni kuendelea kuruhusu CCM ibaki madarakani kwa muda mrefu zaidi. Mfumo wowote wa uongozi ukibaki madarakani muda mrefu matokeo yake ni kujisahau na kufanya mambo kwa mazoea.

Watanzania tunapaswa kuangalia alama za nyakati, ni wakati wa kuondokana na CCM kwa namna yoyote ile vinginevyo tutakuwa tumechelewa.
be specific gentleman,
sema tu wazi kwamba inapaswa kukataliwa na chadema pekee, maana ushindi wa kishindo wa CCM kwenye chaguzi zote hotoke chadema 🐒

infact,
mbadala wa CCM uko ndani ya CCM yenyewe na si vinginevyo 🐒
 
be specific gentleman,
sema tu wazi kwamba inapaswa kukataliwa na chadema pekee, maana ushindi wa kishindo wa CCM kwenye chaguzi zote hotoke chadema 🐒

infact,
mbadala wa CCM uko ndani ya CCM yenyewe na si vinginevyo 🐒
Wana sisiem wenyewe walishaweka wazi kuwa ushindi hupatikana either kwa bao la mkono (Nape), maagizo kutoka juu (DC Longido), au kuunda serikali hata kama wapinzani wakishinda (Samia).

Mtu aliyebaki CCM kama sio kiongozi ni kada, ndugu yake ni kiongozi, anafaidika ki-binafsi au ni zuzu. Nawe upo hapo juu.
 
mtoa mada sisi watanzania hatujakosea ukweli ni kwamba mfumo mzima wa uchaguzi kuanzia sheria za uchaguzi,muundo wa tume,upatikanaji wa viongozi wa tume,wasimamizi wa uchaguzi,kuhesabu kura na kutangaza matokeo mtiririko wote huu haupo upande wa watanzania wanaopiga kura mfano mzuri uchaguzi mkuu wa 2020
 
Tunapokosea watanzania ni kuendelea kuruhusu CCM ibaki madarakani kwa muda mrefu zaidi. Mfumo wowote wa uongozi ukibaki madarakani muda mrefu matokeo yake ni kujisahau na kufanya mambo kwa mazoea.

Watanzania tunapaswa kuangalia alama za nyakati, ni wakati wa kuondokana na CCM kwa namna yoyote ile vinginevyo tutakuwa tumechelewa.
CCM imefanya uovu wote imemaliza, mpaka imehamia kwenye kuteka na kuua.
 
Wana sisiem wenyewe walishaweka wazi kuwa ushindi hupatikana either kwa bao la mkono (Nape), maagizo kutoka juu (DC Longido), au kuunda serikali hata kama wapinzani wakishinda (Samia).

Mtu aliyebaki CCM kama sio kiongozi ni kada, ndugu yake ni kiongozi, anafaidika ki-binafsi au ni zuzu. Nawe upo hapo juu.
relax gentleman,
mambo haya n kujipanga tu my friend hakuna haja sijui mihemko, ghadhabu wala makasiriko..

Imani za kishirikina na ramli haziwezi kufua dafu mbele ya waliojizatiti kushinda uchaguzi kwa sera na mipango, walioaminika na kukubalika kukamata dola na kuunda serikali na hatimae kuongoza nchi katika kuwapatia wananchi Maendeleo...

by the way,
kwani humo ulimo ni chama cha ushirika, ni asasi ya mtu binafsi, chama cha mtu binafsi au cha chakirai ama ni chamber binafsi ya commerce?🤣
 
relax gentleman,
mambo haya n kujipanga tu my friend hakuna haja sijui mihemko, ghadhabu wala makasiriko..

Imani za kishirikina na ramli haziwezi kufua dafu mbele ya waliojizatiti kushinda uchaguzi kwa sera na mipango, walioaminika na kukubalika kukamata dola na kuunda serikali na hatimae kuongoza nchi katika kuwapatia wananchi Maendeleo...

by the way,
kwani humo ulimo ni chama cha ushirika, ni asasi ya mtu binafsi, chama cha mtu binafsi au cha chakirai ama ni chamber binafsi ya commerce?🤣
Mbona mnawaua kama mnafikiri hawana ushawishi kwa wananchi.
 
Sku tukifuta umaskini na ujinga ndo tutaweza iondoa Ccm, ila kwasasa ambayo 99% ya wananchi ni maskini na wajinga na ukiongeza takwimu za utaftiti katika kila watanzania 10 wawili ni vichaa bas tuwe wapole na wavumilivu haiwezekani.
 
Mbona mnawaua kama mnafikiri hawana ushawishi kwa wananchi.
hizi ni songombingo za uchaguzi wa ndani katika chama kinachofanya uchaguzi hivi sasa,

infact ,
songombingo hizi nadhani zinafanywa na wale ambao wanajiona kabisa hawana uhalali, Lakini pia hawana hoja, fikra mpya wala mawazo mbadala ya kueleweka kwa wajumbe ambao ndio wapiga kura..

na sasa anaanza kuwasilence wale ambao ni threat kwake kushinda uchaguzi huo wa kulazmisha...

na ndio maana,
matukio haya yamaanza mara tu chama hicho kuanza uchaguzi, na kadiri unavyoendelea huko ngazi za juu, umwagaji damu unaongezeka aiseee dah🤭
 
hizi ni songombingo za uchaguzi wa ndani katika chama kinachofanya uchaguzi hivi sasa,

infact ,
songombingo hizi nadhani zinafanywa na wale ambao wanajiona kabisa hawana uhalali, Lakini pia hawana hoja, fikra mpya wala mawazo mbadala ya kueleweka kwa wajumbe ambao ndio wapiga kura..

na sasa anaanza kuwasilence wale ambao ni threat kwake kushinda uchaguzi huo wa kulazmisha...

na ndio maana,
matukio haya yamaanza mara tu chama hicho kuanza uchaguzi, na kadiri unavyoendelea huko ngazi za juu, umwagaji damu unaongezeka aiseee dah🤭
CCM mtaua wapinzani wengi sana kwa hizi habari za uchaguzi.
 
Tukiiondoa CCM kwa haraka kutokana na hasira tuu, aje nani kwenye nafasi yake?.
Nashauri Watanzania tutafute. Kwanza mbadala wa CCM, ndipo tuifungashe virago, bila Tanzania kuwa na mbadala wa CCM, CCM bado ipo sana!.
P
Under which grounds? Na, je, so kweli kwamba ccm imekanwa, ni dhahiri dhahiri kwamba ccm wengi tu wameikana, wamejikana
 
Back
Top Bottom