Shalom,
Ni ajabu sana siku hizi huwezi kusikia kauli kama serikali ya CCM, utekelezaji wa ilani ya CCM, serikali imeleta.
Utasikia kauli za kipumbavu kwamba Rais amefanya, Rais ameleta upumbavu mtupu.
Rais ni mwajiriwa, mtumishi, mwakilishi wa CCM, pesa yoyote ile sio yake ni ya nchi, ni ya serikali.
CCM inakosa umaarufu, badala yake Rais anatamkwa utadhani ameingia madarakani kama mgombea binafsi ni aibu sana.
Ni hayo tu.
Wadiz