Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kila kukicha CCM huko na huko mara wafanye maandamano ya kumpongeza mtu, mara hivi, mara vile.
Yatosha.
Huyo mama kama amefanya mazuri msiwe na shaka kazi zake zitatoa hukumu kipindi cha kampeni na siku ya kupiga kura hiyo October 2025.
Chama kiweze kununua Yutong za mabilioni kitashindwa vimilioni vichache vya kumpa huyo mama akachukue fomu ya Urais?
Yatosha.
Huyo mama kama amefanya mazuri msiwe na shaka kazi zake zitatoa hukumu kipindi cha kampeni na siku ya kupiga kura hiyo October 2025.
Chama kiweze kununua Yutong za mabilioni kitashindwa vimilioni vichache vya kumpa huyo mama akachukue fomu ya Urais?