CCM inatumia propaganda za udini na ukabila kukabiliana na vyama Makini vya upinzani

CCM inatumia propaganda za udini na ukabila kukabiliana na vyama Makini vya upinzani

Hili sakata la bandari ili kulituliza wanatumia propaganda za udini sasa. Kama mnakumbuka miaka ya nyuma CUF ilivyoipa shida CCM mpaka kueneza propaganda chama cha udini.

Ikaja CHADEMA kikasemwa chama cha kikanda. Bado hamuoni kuwa CCM ndio adui wa hii nchi?
Ccm ni chama.hatari sana kwa ustawi wa Taifa.
 
CHADEMA walianzisha uzenji na ubara, CCM wamekuja na udini,, hivi vyama vyote viwili vinajitahidi kutumia ubaguzi na kugawanya waTz ili kupata kuungwa mkono, inshort vyama hivi vyote ni takataka
 
Hili sakata la bandari ili kulituliza wanatumia propaganda za udini sasa. Kama mnakumbuka miaka ya nyuma CUF ilivyoipa shida CCM mpaka kueneza propaganda chama cha udini.

Ikaja CHADEMA kikasemwa chama cha kikanda. Bado hamuoni kuwa CCM ndio adui wa hii nchi?
Bahati nzuri watanzania wengi wameelimika wala hawahangaiki na dini sababu wanajua ni mambo ya uongo tupu
 
Back
Top Bottom