Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ccm ni chama.hatari sana kwa ustawi wa Taifa.Hili sakata la bandari ili kulituliza wanatumia propaganda za udini sasa. Kama mnakumbuka miaka ya nyuma CUF ilivyoipa shida CCM mpaka kueneza propaganda chama cha udini.
Ikaja CHADEMA kikasemwa chama cha kikanda. Bado hamuoni kuwa CCM ndio adui wa hii nchi?
Lipumba aliwahi kukitaja chama cha ccm kuwa ni Intalahamwe kama ya RwandaWatanzania washaona chama kipi kinakusanya viongozi wa dini moja kuhubiri siasa,wala aina haja ya kutumia nguvu tutakutaka kwenye sanduku la vikaratasi.
Utasema Ccm waliwashikia bunduki wale Maaskofu wa Chadema wapande majukwaaniWatanzania washaona chama kipi kinakusanya viongozi wa dini moja kuhubiri siasa,wala aina haja ya kutumia nguvu tutakutaka kwenye sanduku la vikaratasi.
Hapana wale maaskofu tupi wameitwa na Chadema.Utasema Ccm waliwashikia bunduki wale Maaskofu wa Chadema wapande majukwaani
Bahati nzuri watanzania wengi wameelimika wala hawahangaiki na dini sababu wanajua ni mambo ya uongo tupuHili sakata la bandari ili kulituliza wanatumia propaganda za udini sasa. Kama mnakumbuka miaka ya nyuma CUF ilivyoipa shida CCM mpaka kueneza propaganda chama cha udini.
Ikaja CHADEMA kikasemwa chama cha kikanda. Bado hamuoni kuwa CCM ndio adui wa hii nchi?