Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Habari toka ndani ya CCM zinaeleza kwamba baadhi ya wanachama wa chama hicho waliofukuzwa, wameelekezwa kuandika barua za "kuomba msamaha" ili chama hicho "kiwasamehe" na kuwarudisha tena CCM.
Taarifa hizo zinadai kwamba zoezi hilo linafanyika kwa baadhi ya wanachama hao kuelekezwa kuandika barua na nini cha kuandika kwenye barua hizo na kisha hujadiliwa na kamati ambayo Mwenyekiti wake ni Mzee Philip Mangula na kufikishwa kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na kisha wanachama hao "kusamehemewa" kupitia kikao cha Halmashauri Kuu.
CCM kwa maigizo, mnampiku hata Mzee Majuto!!
Taarifa hizo zinadai kwamba zoezi hilo linafanyika kwa baadhi ya wanachama hao kuelekezwa kuandika barua na nini cha kuandika kwenye barua hizo na kisha hujadiliwa na kamati ambayo Mwenyekiti wake ni Mzee Philip Mangula na kufikishwa kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na kisha wanachama hao "kusamehemewa" kupitia kikao cha Halmashauri Kuu.
CCM kwa maigizo, mnampiku hata Mzee Majuto!!