NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Bendera zipo tu hazipigi kura wala hazilindi kura zinapepea tu upepo utakavyokuja.Ndo maana mmegoma kupandisha bendera.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bendera zipo tu hazipigi kura wala hazilindi kura zinapepea tu upepo utakavyokuja.Ndo maana mmegoma kupandisha bendera.
Wanaogopa tutawafahamu vichaa wao waliotia nia.Kamati ya siasa ya halmashauri kuu ya CCM mkoa wa Iringa imepiga marufuku watia nia wa nafasi za ubunge na udiwani kuweka vipeperushi na mabango mitaani na mitandaoni.
Hatua hii inalenga kupunguza vurugu na mizaha ndani ya chama.
Chanzo: Azam tv!
Mimi namtibu mtoto wa chairman wako hapa....... Acheni ulevi hapo Ufipa!
Bendera zipo tu hazipigi kura wala hazilindi kura zinapepea tu upepo utakavyokuja.
Alaa kumbeee huyu ni mtoto wa mh.mwenyekiti?!! Ndo Mana ananidharau mm muuza Al Kasusu....lakini ndo walivyo hao watoto wa wanene,baba zao kutwaaa kupiga,kukwepa Kodi na .........yaani hatari tupu kamaradeMimi namtibu mtoto wa chairman wako hapa....... Acheni ulevi hapo Ufipa!
Mbelgiji akitua tu anaungana na wale wakapandishe bendera pamoja.Wabakaji walioko jela ndo mnawatuma kupandisha bendera za ccm
Sasa Daktari gani analipwa elfu 7 hapa Tz
😂😂Mbelgiji akitua tu anaungana na wale wakapandishe bendera pamoja.
Mbelgiji akitua tu anaungana na wale wakapandishe bendera pamoja.