Uchaguzi 2020 CCM Iringa yapiga marufuku watia nia ya ubunge na udiwani kuweka vipeperushi mitandaoni!

Wanaogopa tutawafahamu vichaa wao waliotia nia.
Kule Kinondoni naona Shika naye katia nia
 
Mimi namtibu mtoto wa chairman wako hapa....... Acheni ulevi hapo Ufipa!
Alaa kumbeee huyu ni mtoto wa mh.mwenyekiti?!! Ndo Mana ananidharau mm muuza Al Kasusu....lakini ndo walivyo hao watoto wa wanene,baba zao kutwaaa kupiga,kukwepa Kodi na .........yaani hatari tupu kamarade
 
Mbelgiji akitua tu anaungana na wale wakapandishe bendera pamoja.


Ndo maana mnaishia kumegwa na wazee wenye umri babu zenu. Mmekosa nini mpaka unaishia kulipwa elfu 7 na ole wenu msipokomaa wanaume watazidi kuwaletea vicheche ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…