CCM isimbeze Dkt. Bashiru Ally, na isitumie nguvu kumkabili

CCM isimbeze Dkt. Bashiru Ally, na isitumie nguvu kumkabili

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
WanaJf,
SALAAM!

Mara nyingi ikitokea viongozi wastaafu wa nafasi za juu kulalamikia jambo fulani kuhusu uendeshaji wa nchi - huja vijana wa chama maarufu kwa UVCCM na makundi mengine ya wanufaika wa enzi hizo kushambulia hoja, maoni na mtizamo wa mtu.

Kama ilivyotokea kwa kundi la CDE Kinana, Makamba, na wenzake kushambuliwa ndivyo leo Dkt Bashiru Ally Kakunda anavyoshambuliwa. Hili halina afya kwa CCM yetu - Bashiru Ally Kakunda ni mbunge na hoja, maoni na mtizamo anaotoa anautoa kama mbunge lkn pia kama mwananchi kikatiba. Iwe CCM au Serikali inapaswa kulipa hili uzito wa juu badala kufanya personal attacks - njia sahihi zipo nyingi sana na zimetumika tangu enzi za Mwl JK Nyerere.

Tujiulize - leo Nape anapiga kelele tena? Leo Polepole anapiga mawe wahuni? Leo Kinana analalamika? Leo Makamba analalamika?, leo Bashe analalamika?

Jibu - ni hapana hawalalamiki - So, kwa nini hawalalamiki?

Ushauri:-
CCM na Serikali wasitumie nguvu kumkabiri Dkt Bashiru Ally Kakunda watumie hekima na busara kwa kufahamu kuwa siasa haina adui wala rafiki wa kudumu.

Msakila Kabende
Kakonko.
 
Tatizo la nchi hii wengi wanasumbuliwa na njaa!!! Hata huyu bashiru ni njaa inamsumbua, Leo yeye angakuwa kwenye hizo nafasi kubwa unafikiri asingesifia, watu wengi wataenda motoni kwa sababu ya njaa
Tuweke kumbukumbu sawa kiongozi
Watu wataenda motoni kwa dhambi zao na sio njaa zao
Kama wanae njaa wakalime mahanju wale
 
WanaJf,
SALAAM!

Mara nyingi ikitokea viongozi wastaafu wa nafasi za juu kulalamikia jambo fulani kuhusu uendeshaji wa nchi - huja vijana wa chama maarufu kwa UVCCM na makundi mengine ya wanufaika wa enzi hizo kushambulia hoja, maoni na mtizamo wa mtu.

Kama ilivyotokea kwa kundi la CDE Kinana, Makamba, na wenzake kushambuliwa ndivyo leo Dkt Bashiru Ally Kakunda anavyoshambuliwa. Hili halina afya kwa CCM yetu - Bashiru Ally Kakunda ni mbunge na hoja, maoni na mtizamo anaotoa anautoa kama mbunge lkn pia kama mwananchi kikatiba. Iwe CCM au Serikali inapaswa kulipa hili uzito wa juu badala kufanya personal attacks - njia sahihi zipo nyingi sana na zimetumika tangu enzi za Mwl JK Nyerere.

Tujiulize - leo Nape anapiga kelele tena? Leo Polepole anapiga mawe wahuni? Leo Kinana analalamika? Leo Makamba analalamika?, leo Bashe analalamika?

Jibu - ni hapana hawalalamiki - So, kwa nini hawalalamiki?

Ushauri:-
CCM na Serikali wasitumie nguvu kumkabiri Dkt Bashiru Ally Kakunda watumie hekima na busara kwa kufahamu kuwa siasa haina adui wala rafiki wa kudumu.

Msakila Kabende
Kakonko.
Naunga mkono hoja!.
P
 
WanaJf,
SALAAM!

Mara nyingi ikitokea viongozi wastaafu wa nafasi za juu kulalamikia jambo fulani kuhusu uendeshaji wa nchi - huja vijana wa chama maarufu kwa UVCCM na makundi mengine ya wanufaika wa enzi hizo kushambulia hoja, maoni na mtizamo wa mtu.

Kama ilivyotokea kwa kundi la CDE Kinana, Makamba, na wenzake kushambuliwa ndivyo leo Dkt Bashiru Ally Kakunda anavyoshambuliwa. Hili halina afya kwa CCM yetu - Bashiru Ally Kakunda ni mbunge na hoja, maoni na mtizamo anaotoa anautoa kama mbunge lkn pia kama mwananchi kikatiba. Iwe CCM au Serikali inapaswa kulipa hili uzito wa juu badala kufanya personal attacks - njia sahihi zipo nyingi sana na zimetumika tangu enzi za Mwl JK Nyerere.

Tujiulize - leo Nape anapiga kelele tena? Leo Polepole anapiga mawe wahuni? Leo Kinana analalamika? Leo Makamba analalamika?, leo Bashe analalamika?

Jibu - ni hapana hawalalamiki - So, kwa nini hawalalamiki?

Ushauri:-
CCM na Serikali wasitumie nguvu kumkabiri Dkt Bashiru Ally Kakunda watumie hekima na busara kwa kufahamu kuwa siasa haina adui wala rafiki wa kudumu.

Msakila Kabende
Kakonko.

Wakati wa Magufuli Bashiru alikuwa anaendesha siasa hizo hizo za personal attack dhidi ya wote walioenda kinyume na Magufuli. Hivyo akae kwa kutulia.
 
Tatizo la nchi hii wengi wanasumbuliwa na njaa!!! Hata huyu bashiru ni njaa inamsumbua, Leo yeye angakuwa kwenye hizo nafasi kubwa unafikiri asingesifia, watu wengi wataenda motoni kwa sababu ya njaa
Kwamba ww awamu ya 5 hukushuhudia alivokuwa akisifu na kuabudu na kuwazingia wanaokinzana na chama
 
Bashiru amepata unequalled support
Naona kazi ya kuchochea kuni imeanza! CCM iliyoshindwa kupasuka kipindi cha wimbi la EL sasa kuna kichocheo kipya ambacho ni wananchi wenyewe! Ikitokea wimbi serious hata kama sio kwa nguvu kama ya EL, chama kikongwe kitasambaratika haraka kuliko tulivyotarajia.

Ulaghai wa kisiasa hufikia mwisho kama mkishindwa kusoma tempo ya wananchi. Gaddafi aliamini raia wake hawawezi kuua hata kuku! Lakini kwasababu ya mifumo corrupt, mashirika ya ujasusi ya kimataifa yalipenyeza propaganda zilizoinua wananchi yakatokea yasiyotarajiwa!

Wakati mwingine ni muhimu viongozi kusikia sauti ya wananchi kwa masikio yao wenyewe ili wawe upande wa wananchi! Kutafuta majibu ya ki genius kwa maswali mepesi ya wananchi ni kujiongezea gap tu na raia wa kawaida.

Tatizo viongozi wengi husikia zaidi mapambio ya makada kuliko wananchi halisi! Bahati mbaya makada wengi ni wanafiki! Wakiwa na raia mtaani wanalalamika kama wenzao ila kwenye kamera wanavaa miwani.
 
WanaJf,
SALAAM!

Mara nyingi ikitokea viongozi wastaafu wa nafasi za juu kulalamikia jambo fulani kuhusu uendeshaji wa nchi - huja vijana wa chama maarufu kwa UVCCM na makundi mengine ya wanufaika wa enzi hizo kushambulia hoja, maoni na mtizamo wa mtu.

Kama ilivyotokea kwa kundi la CDE Kinana, Makamba, na wenzake kushambuliwa ndivyo leo Dkt Bashiru Ally Kakunda anavyoshambuliwa. Hili halina afya kwa CCM yetu - Bashiru Ally Kakunda ni mbunge na hoja, maoni na mtizamo anaotoa anautoa kama mbunge lkn pia kama mwananchi kikatiba. Iwe CCM au Serikali inapaswa kulipa hili uzito wa juu badala kufanya personal attacks - njia sahihi zipo nyingi sana na zimetumika tangu enzi za Mwl JK Nyerere.

Tujiulize - leo Nape anapiga kelele tena? Leo Polepole anapiga mawe wahuni? Leo Kinana analalamika? Leo Makamba analalamika?, leo Bashe analalamika?

Jibu - ni hapana hawalalamiki - So, kwa nini hawalalamiki?

Ushauri:-
CCM na Serikali wasitumie nguvu kumkabiri Dkt Bashiru Ally Kakunda watumie hekima na busara kwa kufahamu kuwa siasa haina adui wala rafiki wa kudumu.

Msakila Kabende
Kakonko.
Tunaomba hiyo statement yake nasi wengine tuisikie
 
Uv CCM unapiga KELELE coz inajua anaezungumza sio Bashiru ni mhimili mkubwa Sana kuliko Hata ccm yenyewe!!

Tena Wana hasira Baada ya jambo la kumuondoa ukatelephone na kumpa MWINGINE lilifeli kabla Hata halijaanza!

Hao waliwashinda wasimng'oe katelephone ndio wanaoongea kupitia Bashiru!!

Naipenda nchi YANGU TANZANIA,Mungu ibariki Tanzania!
 
WanaJf,
SALAAM!

Mara nyingi ikitokea viongozi wastaafu wa nafasi za juu kulalamikia jambo fulani kuhusu uendeshaji wa nchi - huja vijana wa chama maarufu kwa UVCCM na makundi mengine ya wanufaika wa enzi hizo kushambulia hoja, maoni na mtizamo wa mtu.

Kama ilivyotokea kwa kundi la CDE Kinana, Makamba, na wenzake kushambuliwa ndivyo leo Dkt Bashiru Ally Kakunda anavyoshambuliwa. Hili halina afya kwa CCM yetu - Bashiru Ally Kakunda ni mbunge na hoja, maoni na mtizamo anaotoa anautoa kama mbunge lkn pia kama mwananchi kikatiba. Iwe CCM au Serikali inapaswa kulipa hili uzito wa juu badala kufanya personal attacks - njia sahihi zipo nyingi sana na zimetumika tangu enzi za Mwl JK Nyerere.

Tujiulize - leo Nape anapiga kelele tena? Leo Polepole anapiga mawe wahuni? Leo Kinana analalamika? Leo Makamba analalamika?, leo Bashe analalamika?

Jibu - ni hapana hawalalamiki - So, kwa nini hawalalamiki?

Ushauri:-
CCM na Serikali wasitumie nguvu kumkabiri Dkt Bashiru Ally Kakunda watumie hekima na busara kwa kufahamu kuwa siasa haina adui wala rafiki wa kudumu.

Msakila Kabende
Kakonko.
Bashiru amechoka kusubiri uteuzi
 
Uv CCM unapiga KELELE coz inajua anaezungumza sio Bashiru ni mhimili mkubwa Sana kuliko Hata ccm yenyewe!!

Tena Wana hasira Baada ya jambo la kumuondoa ukatelephone na kumpa MWINGINE lilifeli kabla Hata halijaanza!

Hao waliwashinda wasimng'oe katelephone ndio wanaoongea kupitia Bashiru!!

Naipenda nchi YANGU TANZANIA,Mungu ibariki Tanzania!
Yote ni manyau tupu
 
Naona kazi ya kuchochea kuni imeanza! CCM iliyoshindwa kupasuka kipindi cha wimbi la EL sasa kuna kichocheo kipya ambacho ni wananchi wenyewe! Ikitokea wimbi serious hata kama sio kwa nguvu kama ya EL, chama kikongwe kitasambaratika haraka kuliko tulivyotarajia.

Ulaghai wa kisiasa hufikia mwisho kama mkishindwa kusoma tempo ya wananchi. Gaddafi aliamini raia wake hawawezi kuua hata kuku! Lakini kwasababu ya mifumo corrupt, mashirika ya ujasusi ya kimataifa yalipenyeza propaganda zilizoinua wananchi yakatokea yasiyotarajiwa!

Wakati mwingine ni muhimu viongozi kusikia sauti ya wananchi kwa masikio yao wenyewe ili wawe upande wa wananchi! Kutafuta majibu ya ki genius kwa maswali mepesi ya wananchi ni kujiongezea gap tu na raia wa kawaida.

Tatizo viongozi wengi husikia zaidi mapambio ya makada kuliko wananchi halisi! Bahati mbaya makada wengi ni wanafiki! Wakiwa na raia mtaani wanalalamika kama wenzao ila kwenye kamera wanavaa miwani.
Watasikiaje huku wapo kwenye viyoyozi|?
 
WanaJf,
SALAAM!

Mara nyingi ikitokea viongozi wastaafu wa nafasi za juu kulalamikia jambo fulani kuhusu uendeshaji wa nchi - huja vijana wa chama maarufu kwa UVCCM na makundi mengine ya wanufaika wa enzi hizo kushambulia hoja, maoni na mtizamo wa mtu.

Kama ilivyotokea kwa kundi la CDE Kinana, Makamba, na wenzake kushambuliwa ndivyo leo Dkt Bashiru Ally Kakunda anavyoshambuliwa. Hili halina afya kwa CCM yetu - Bashiru Ally Kakunda ni mbunge na hoja, maoni na mtizamo anaotoa anautoa kama mbunge lkn pia kama mwananchi kikatiba. Iwe CCM au Serikali inapaswa kulipa hili uzito wa juu badala kufanya personal attacks - njia sahihi zipo nyingi sana na zimetumika tangu enzi za Mwl JK Nyerere.

Tujiulize - leo Nape anapiga kelele tena? Leo Polepole anapiga mawe wahuni? Leo Kinana analalamika? Leo Makamba analalamika?, leo Bashe analalamika?

Jibu - ni hapana hawalalamiki - So, kwa nini hawalalamiki?

Ushauri:-
CCM na Serikali wasitumie nguvu kumkabiri Dkt Bashiru Ally Kakunda watumie hekima na busara kwa kufahamu kuwa siasa haina adui wala rafiki wa kudumu.

Msakila Kabende
Kakonko.
Dr. Bashiru usiogope sisi wasarendo wa nji hii tunakuunga nkono, Go Bashiru go, goo!
 
Wakati wa Magufuli Bashiru alikuwa anaendesha siasa hizo hizo za personal attack dhidi ya wote walioenda kinyume na Magufuli. Hivyo akae kwa kutulia.
tunakumbuka bado walichomfanyia Mzee Membe ndani ya kikao pale Dodoma... kosa lake kuu likiwa ni kutanganza nia ya kuchukua form ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM.
 
Tatizo la nchi hii wengi wanasumbuliwa na njaa!!! Hata huyu bashiru ni njaa inamsumbua, Leo yeye angakuwa kwenye hizo nafasi kubwa unafikiri asingesifia, watu wengi wataenda motoni kwa sababu ya njaa
Jadilini yale aliyoyasema Bashiru, kuacha kujadiri hoja ukaanza kuleta stori za njaa ni kujivisha miwani ya mbao Mkuu. Nchi hii asiye na njaa, wewe njaa huna? Ama huko maskani kwako ama ofisini kama una kacheo kwani waliokuweka hapo hawakujua una njaa? mbona hawakuhoji njaa yako na wakaamua kukupa.

Unavyokwenda kutafuta umewahi kutoa 0.5 ukawasaidia wahitaji, kama hujafanya hivyo hujui ni vibaya na si njaa ile ile? So tuache ushabiki wa hovyo. Ikabili hoja iliyo mbele yako pasipo kuhusisha hisia, na hata aje nani ni lazima uelewe sote tupo busy kwanza ni kwa ajiri ya matumbo yetu

Rudi kwenye hoja twambie watawala wanayo haki ya kutufanya wananchi mang'ombe? Na je, tukisema ama kusemewa na wengine unahisi uota ukurutu mwilini?
 
Back
Top Bottom