CCM isimbeze Dkt. Bashiru Ally, na isitumie nguvu kumkabili

......! Kutafuta majibu ya ki genius kwa maswali mepesi ya wananchi ni kujiongezea gap tu na raia wa kawaida.
.......
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€” hakika mkuu hili nalo walitazame kwa makini
 
Waziri Mkuu mstaafu Sinde Warioba, nae pia kwa maoni binafsi ameshauri Dkt Bashiru Ally Kakunda asipuuzwe.

Kupaka rangi mawe kipindi kiongozi ajapo ziara huficha kwa muda shida za wananchi lkn ukweli unabaki kuwa hapo hapo kwamba jamii husika inahitaji maboresho makubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…