Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
Chai90% ya watanzania wote ni ccm.
ukichekiki mwenendo wa ccm watu wengi wanataka vyeo vya kuteuliwa au kuchaguliwa kwa kura.
CCM kuna watu wengi sana ambao wanakosa teuzi ila wanavumilia tu.kwa machungu
makada wote wa ccm wazee kwa vijana shabaha yao ni teuzi ili watafune keki ya nchi tatizo linakuja ni wengi sana chama kinashindwa kwa kuwapeleka.
watu wanasema Tanzania itakua kama china ya chama kimoja
china kule hakuna siasa watu wako busy serious na mambo mengine hakuna anae mendea teuzi.
hii ccm haifiki 2050 haijagawanyika
Hakika.90% ya watanzania wote ni ccm.
ukichekiki mwenendo wa ccm watu wengi wanataka vyeo vya kuteuliwa au kuchaguliwa kwa kura.
CCM kuna watu wengi sana ambao wanakosa teuzi ila wanavumilia tu.kwa machungu
makada wote wa ccm wazee kwa vijana shabaha yao ni teuzi ili watafune keki ya nchi tatizo linakuja ni wengi sana chama kinashindwa kwa kuwapeleka.
watu wanasema Tanzania itakua kama china ya chama kimoja
china kule hakuna siasa watu wako busy serious na mambo mengine hakuna anae mendea teuzi.
hii ccm haifiki 2050 haijagawanyika
Sijasoma andiko lako mkuu lakini90% ya watanzania wote ni ccm.
ukichekiki mwenendo wa ccm watu wengi wanataka vyeo vya kuteuliwa au kuchaguliwa kwa kura.
CCM kuna watu wengi sana ambao wanakosa teuzi ila wanavumilia tu.kwa machungu
makada wote wa ccm wazee kwa vijana shabaha yao ni teuzi ili watafune keki ya nchi tatizo linakuja ni wengi sana chama kinashindwa kwa kuwapeleka.
watu wanasema Tanzania itakua kama china ya chama kimoja
china kule hakuna siasa watu wako busy serious na mambo mengine hakuna anae mendea teuzi.
hii ccm haifiki 2050 haijagawanyika
kwa sensa ipi?90% ya watanzania wote ni ccm.
Hii hadithi ya uongo kuwa china hakuna siasa kwa nini mnaipenda Sana!??China kule hakuna siasa watu wako busy serious na mambo mengine hakuna anae mendea teuzi.
china hakuna siasa .Hii hadithi ya uongo kuwa china hakuna siasa kwa nini mnaipenda Sana!??
Kile CCP ni nini kama siyo siasa!??china hakuna siasa .