CCM jifunzeni siasa za kistaarabu toka kwa majirani

CCM jifunzeni siasa za kistaarabu toka kwa majirani

FUSO

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
34,181
Reaction score
41,563
Nimeambiwa Rais Uhuru yupo DC na ataongea na Biden kama Rais wa kwanza Africa kufika while House kwa official visit na zaidi wataongelea mambo ya demokrasia Africa.

Nimejuliza sisi tunakwama wapi? Mbona wa kwetu alikuwa huko huko juzi tu, nini mbaya

Haya naambiwa pia Uhuru atamkampenia mpinzani wake wa jadi kwenye uchaguzi mkuu.. Raira Ondinga ..kweli yàani Raila kumkampenia Ondinga ?

Sasa kama huamini Kenya ndiyo nchi inayokwenda kwenye ustaarabu wa kidunia huku sisi tukipeana kesi za UGAIDI.

Hivi sisi tunakwama wapi ??

Screenshot_20211013-201828_Facebook.jpg


20211013_211615.jpg
 
Nimeambiwa Rais Uhuru yupo DC na ataongea na Biden kama Rais wa kwanza Africa kufika while House kwa official visit na zaidi wataongelea mambo ya demokrasia Africa.

Nimejuliza sisi tunakwama wapi? Mbona wa kwetu alikuwa huko huko juzi tu, nini mbaya

Haya naambiwa pia Uhuru atamkampenia mpinzani wake wa jadi kwenye uchaguzi mkuu.. Raira Ondinga ..kweli yàani Raila kumkampenia Ondinga ?

Sasa kama huamini Kenya ndiyo nchi inayokwenda kwenye ustaarabu wa kidunia huku sisi tukipeana kesi za UGAIDI.

Hivi sisi tunakwama wapi ??

View attachment 1973361

View attachment 1973362
Kenya wako mbali sana. Bado M7 na Mtu mrefu ndio wanatuharibia EA.
 
Kenya hakuna demokrasia kuna ubabe mtupu!
Nafsi inakusuta mkuu..huwa nakuamini sana sana ila kwenye hili umenikosea.

Wakati Raila anajiapisha pale Uhuru Pack kama Rais wa wananchi hivi Rais Uhuru angetaka kupeleka Police na wanajeshi pale kufanya mauaji ya karne angeshidwa?

Biden si mjinga kumchagua Rais Uhuru.

Tujisahihishe . CCM inaipeleka nchi yetu ambako siko kabisa.
 
Nimeambiwa Rais Uhuru yupo DC na ataongea na Biden kama Rais wa kwanza Africa kufika while House kwa official visit na zaidi wataongelea mambo ya demokrasia Africa.

Nimejuliza sisi tunakwama wapi? Mbona wa kwetu alikuwa huko huko juzi tu, nini mbaya

Haya naambiwa pia Uhuru atamkampenia mpinzani wake wa jadi kwenye uchaguzi mkuu.. Raira Ondinga ..kweli yàani Raila kumkampenia Ondinga ?

Sasa kama huamini Kenya ndiyo nchi inayokwenda kwenye ustaarabu wa kidunia huku sisi tukipeana kesi za UGAIDI.

Hivi sisi tunakwama wapi ??

View attachment 1973361

View attachment 1973362

Kikwete_and_Obama.jpg
 
Ruto Urais uliisha toka shake hands ya Uhuru na Raila baada ya uchaguzi Wa marudio 2018.

Usalama wa taifa wa Kenya hautaki kusikia chochote kuhusu Ruto, maana amefanya ukabila Sana ndani ya serikali ya Uhuru.

Inasemekana akiingia tu anaweza wageuka wote na kutawala kikabila na kidicteta .

Sasa idara yao imenusa hili mapema Rais mpya Kenya Ni Raila ambaye anatambulika ni mtu wa haki na usawa
 
Rais Mh.Uhuru Kenyatta= Mtoto wa Mzee Jomo Kenyatta(Rais wa kwanza wa Kenya huru)......Waziri Mkuu Mstaafu mh.Agwambo Baba Raila Amolo Odinga= Mtoto wa waziri mkuu wa kwanza hayati Jaramogi Oginga Odinga 🤣🤣🤣🤣
 
Rais Mh.Uhuru Kenyatta= Mtoto wa Mzee Jomo Kenyatta(Rais wa kwanza wa Kenya huru)......Waziri Mkuu Mstaafu mh.Agwambo Baba Raila Amolo Odinga= Mtoto wa waziri mkuu wa kwanza hayati Jaramogi Oginga Odinga 🤣🤣🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Akiongea nae ndio wanachi masikini wa Kenya umasikini wao utaisha?
 
Back
Top Bottom