They have succeeded to make democracy take its way. Shame on you.Kenya ni wanafiki tu wa kujumia tumbo.
Kenya hakuna demokrasia kuna ubabe mtupu!They have succeeded to make democracy take its way. Shame on you.
Tena sana.Kenya ni wanafiki tu...
Kenya wako mbali sana. Bado M7 na Mtu mrefu ndio wanatuharibia EA.Nimeambiwa Rais Uhuru yupo DC na ataongea na Biden kama Rais wa kwanza Africa kufika while House kwa official visit na zaidi wataongelea mambo ya demokrasia Africa.
Nimejuliza sisi tunakwama wapi? Mbona wa kwetu alikuwa huko huko juzi tu, nini mbaya
Haya naambiwa pia Uhuru atamkampenia mpinzani wake wa jadi kwenye uchaguzi mkuu.. Raira Ondinga ..kweli yàani Raila kumkampenia Ondinga ?
Sasa kama huamini Kenya ndiyo nchi inayokwenda kwenye ustaarabu wa kidunia huku sisi tukipeana kesi za UGAIDI.
Hivi sisi tunakwama wapi ??
View attachment 1973361
View attachment 1973362
Nafsi inakusuta mkuu..huwa nakuamini sana sana ila kwenye hili umenikosea.Kenya hakuna demokrasia kuna ubabe mtupu!
Wanajua lakini ni wavivu wa kufanya kazi. Bila ajira za kupeana kwenye Mfumo hawachomoki.Kwenye Political science kuna kitu kinaitwa peace and reconciliation ..hivi CCM wote hao hawajui hii kitu..kwamba nchi kwanza mengine ni useless.
john unajua ukweli lakini unalinda chama tu.Kenya hakuna demokrasia kuna ubabe mtupu!
Unafiki wao ni Nini?? Nyie watu maskini mnapenda kujenga chuki dhidi ya watu waliofanikiwaTena sana.
Fikra za mtu Duni hizi.Kenya ni wanafiki tu wa kujumia tumbo.
Nimeambiwa Rais Uhuru yupo DC na ataongea na Biden kama Rais wa kwanza Africa kufika while House kwa official visit na zaidi wataongelea mambo ya demokrasia Africa.
Nimejuliza sisi tunakwama wapi? Mbona wa kwetu alikuwa huko huko juzi tu, nini mbaya
Haya naambiwa pia Uhuru atamkampenia mpinzani wake wa jadi kwenye uchaguzi mkuu.. Raira Ondinga ..kweli yàani Raila kumkampenia Ondinga ?
Sasa kama huamini Kenya ndiyo nchi inayokwenda kwenye ustaarabu wa kidunia huku sisi tukipeana kesi za UGAIDI.
Hivi sisi tunakwama wapi ??
View attachment 1973361
View attachment 1973362
JK alikuwa muungwana...alijitahidi sana sana kuilea demokrasia na utawala wa sheria Tanzania ambayo ndiyo credit pekee kwa Rais wa nchi yoyote duniani.
We babu weweBiden yuko chama cha mkenya Obama!