Yeah....ila key point hapa ni kwamba wana cross kitu kinaitwa Mjaluo hawezi kutawala Kenya.. cause bye the time wakikuyu wakipambana na vuta vya MAUMAU wajaluo walikuwa ofisini wamefunga tai na wazungu...kama.chawa..Rais Mh.Uhuru Kenyatta= Mtoto wa Mzee Jomo Kenyatta(Rais wa kwanza wa Kenya huru)......Waziri Mkuu Mstaafu mh.Agwambo Baba Raila Amolo Odinga= Mtoto wa waziri mkuu wa kwanza hayati Jaramogi Oginga Odinga 🤣🤣🤣🤣
Mbaya zaidi CCM metufanya wote ni mandondocha..wazee sawa ila vijana tumegoma.. katiba mpyaNdo raha ya kunywa pombe ukiitumia vizuri ....unapata mipango Uhuru mjanja unatakiwa kua nyoka lenye makengeza
Tumeng'ang'ana na kazi iendelee ,kazi ya kutesa watu ugaidi pasipo na ugaidi
Tanzania inaongoza kwa UNAFIKI tena kwa Raia wakeKenya ni wanafiki tu wa kujumia tumbo.
Upo sahihi 100%; ukitaka mambo yako yaende sawa kubaliana na ka kikundi haka ka CCM...kwa mfano leo usiku huu mnajua Mh Mbowe yupo ndani ila kama akikubaliana nao he is free tomorrow morning ...ila hawajui Mh Mbowe kashayaishi maisha haya tangu yupo nasari. Utatupata kina sisi tunaoingia siasa tunavaa kandambili toka Mwadinga funza kibaoTanzania inaongoza kwa UNAFIKI tena kwa Raia wake
Habari za hapo Denmark!?Rais Mh.Uhuru Kenyatta= Mtoto wa Mzee Jomo Kenyatta(Rais wa kwanza wa Kenya huru)......Waziri Mkuu Mstaafu mh.Agwambo Baba Raila Amolo Odinga= Mtoto wa waziri mkuu wa kwanza hayati Jaramogi Oginga Odinga 🤣🤣🤣🤣
Nenda kajikombe kwa hao nyang'au basi tujue moja.Unafiki wao ni Nini?? Nyie watu maskini mnapenda kujenga chuki dhidi ya watu waliofanikiwa
Unafiki wao ni nini?Nenda kajikombe kwa hao nyang'au basi tujue moja.
Wanafiki tu.Unafiki wao ni nini?
Yes mbowe akikubaliana hata Kesho atapewa Uwaziri Mkuu. Jaliwa anapigwa chini.Upo sahihi 100%; ukitaka mambo yako yaende sawa kubaliana na ka kikundi haka ka CCM...kwa mfano leo usiku huu mnajua Mh Mbowe yupo ndani ila kama akikubaliana nao he is free tomorrow morning ...ila hawajui Mh Mbowe kashayaishi maisha haya tangu yupo nasari. Utatupata kina sisi tunaoingia siasa tunavaa kandambili toka Mwadinga funza kibao
Pius Msekwa msimwache. Alichoonesha jana ni kwamba anahitaji katiba Mpya. Katiba ya zamani inamuogopesha hata kutoa maoni yake binafsi maana anajua itakachomfanyia.Mbaya zaidi CCM metufanya wote ni mandondocha..wazee sawa ila vijana tumegoma.. katiba mpya
Wazee wachache wenye mawazo ya vijana ttutakwenda nao hadi mwisho kama Mzee WWarioba .kwanza Mungu ampe maisha marefu namuombea
🤣🤣🤣Ndo raha ya kunywa pombe ukiitumia vizuri ....unapata mipango Uhuru mjanja unatakiwa kua nyoka lenye makengeza
Tumeng'ang'ana na kazi iendelee ,kazi ya kutesa watu ugaidi pasipo na ugaidi
Uhuru Kenyata ana Connection aisee.Ndo raha ya kunywa pombe ukiitumia vizuri ....unapata mipango Uhuru mjanja unatakiwa kua nyoka lenye makengeza
Tumeng'ang'ana na kazi iendelee ,kazi ya kutesa watu ugaidi pasipo na ugaidi
Ni kweli. Ni sawa na wanaLumumba leo watu tunafungwa na kuteswa kwa sababu ya kudai katiba Mpya. Ikipatikana utaona na wao wanafurahi.Yeah....ila key point hapa ni kwamba wana cross kitu kinaitwa Mjaluo hawezi kutawala Kenya.. cause bye the time wakikuyu wakipambana na vuta vya MAUMAU wajaluo walikuwa ofisini wamefunga tai na wazungu...kama.chawa..
Nimesoma Kenya mimi miaka hiyo ..Mkikuyu na Mjaluo its not the way you think.
#Fuso!Nimeambiwa Rais Uhuru yupo DC na ataongea na Biden kama Rais wa kwanza Africa kufika while House kwa official visit na zaidi wataongelea mambo ya demokrasia Africa.
Nimejuliza sisi tunakwama wapi? Mbona wa kwetu alikuwa huko huko juzi tu, nini mbaya
Haya naambiwa pia Uhuru atamkampenia mpinzani wake wa jadi kwenye uchaguzi mkuu.. Raira Ondinga ..kweli yàani Raila kumkampenia Ondinga ?
Sasa kama huamini Kenya ndiyo nchi inayokwenda kwenye ustaarabu wa kidunia huku sisi tukipeana kesi za UGAIDI.
Hivi sisi tunakwama wapi ??
View attachment 1973361
View attachment 1973362
ndio ,ukitaka ushinde wiwanja vya ikulu ya marekani mudawote ,ruhusu democrasia Uhuru wakujieleza individuals Uhuru wa vyombo vya habari ,basi they will col a good boy ,muulize mzee kikwete atakwambia hapoo ilikuaje yeye akawa ana switch tumaswala kirahisi kabisaUhuru Kenyata ana Connection aisee.
Mwenzetu alimtuma Mulamula kupitia Mange Kimambi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaweza kutoa ushahidi wa huo inafikiKenya ni wanafiki tu wa kujumia tumbo.
Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa KenyaNimeambiwa Rais Uhuru yupo DC na ataongea na Biden kama Rais wa kwanza Africa kufika while House kwa official visit na zaidi wataongelea mambo ya demokrasia Africa.
Nimejuliza sisi tunakwama wapi? Mbona wa kwetu alikuwa huko huko juzi tu, nini mbaya
Haya naambiwa pia Uhuru atamkampenia mpinzani wake wa jadi kwenye uchaguzi mkuu.. Raira Ondinga ..kweli yàani Raila kumkampenia Ondinga ?
Sasa kama huamini Kenya ndiyo nchi inayokwenda kwenye ustaarabu wa kidunia huku sisi tukipeana kesi za UGAIDI.
Hivi sisi tunakwama wapi ??
View attachment 1973361
View attachment 1973362
warioba anapata kidogo mvinyo pia sigarrete ,ndomana unakuta akili muda wote zinachaji properly ,napia anakumbuka kunakifo baada yakuwatesa wengineMbaya zaidi CCM metufanya wote ni mandondocha..wazee sawa ila vijana tumegoma.. katiba mpya
Wazee wachache wenye mawazo ya vijana ttutakwenda nao hadi mwisho kama Mzee WWarioba .kwanza Mungu ampe maisha marefu namuombea