William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- The dataz nilizozipata leo kutoka ndani ya CCM, ni kwamba Kamati Kuu ya chama hicho inatazamiwa kukutana rasmi hivi karibuni, hapa jijini Dar-Es-Salaam, chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Jamhuri yetu Mh. Jakaya Kikwete. Kwa mujibu wa dataz hizo:-
1. Tarehe 17-18, April 2009 kutakuwa na kikao cha Sekretariat.
2. Tarehe 19, April 2009 itakuwa ni kikao cha Kamati ya Maadili.
3. Tarehe 20-21, April 2009 itakuwa ndio kikao rasmi cha Kamati zote, kwenye Kamati Kuu ya CCM.
- Kikao hiki kinapewa umuhimu mzito sana na wataalamu wengi wa mambo ya siasa nchini kutokana na mivutano mikubwa sana inayoendelea kwa chini chini, baina ya makundi mbali mbali yanayowania uongozi wa juu wa chama hicho, yakiwa pia na lengo la uongozi wa juu wa Jamhuri yetu, ifikapo Mwaka 2010.
Je kikao hiki kweli kitaweza kubadilisha kitu chochote, kuweka muongozo sahihi, au kusimamia masilahi ya taifa kwa manufaa ya umma? Tunakisubiri kwa hamu kubwa sana kikao, na kuanzia leo tutajaribu kuwaletea yale yote muhimu yanahusiana na kuelekea kwenye hiki kikao, huku tukiendelea kujadiliana mengineyo yanayokaribiana na hiki kikao, tukiangalia zaidi masilahi ya taifa.
Mungu Aibariki Tanzania.
Wazee wa sauti ya umeme Field Marshall Es!
1. Tarehe 17-18, April 2009 kutakuwa na kikao cha Sekretariat.
2. Tarehe 19, April 2009 itakuwa ni kikao cha Kamati ya Maadili.
3. Tarehe 20-21, April 2009 itakuwa ndio kikao rasmi cha Kamati zote, kwenye Kamati Kuu ya CCM.
- Kikao hiki kinapewa umuhimu mzito sana na wataalamu wengi wa mambo ya siasa nchini kutokana na mivutano mikubwa sana inayoendelea kwa chini chini, baina ya makundi mbali mbali yanayowania uongozi wa juu wa chama hicho, yakiwa pia na lengo la uongozi wa juu wa Jamhuri yetu, ifikapo Mwaka 2010.
Je kikao hiki kweli kitaweza kubadilisha kitu chochote, kuweka muongozo sahihi, au kusimamia masilahi ya taifa kwa manufaa ya umma? Tunakisubiri kwa hamu kubwa sana kikao, na kuanzia leo tutajaribu kuwaletea yale yote muhimu yanahusiana na kuelekea kwenye hiki kikao, huku tukiendelea kujadiliana mengineyo yanayokaribiana na hiki kikao, tukiangalia zaidi masilahi ya taifa.
Mungu Aibariki Tanzania.
Wazee wa sauti ya umeme Field Marshall Es!