CCM: Kamati Kuu Kukaa Chini Dar

CCM: Kamati Kuu Kukaa Chini Dar

Wakuu; Nimeongea kwa simu na Oscar, alikuwa njiani kuelekea Bihalamulo na nimemuuliza juu ya tuhuma hizo hapo juu zilizotolewa na Masanilo. Kwa kweli amesikitika sana na amekanusha vikali kuwa hausiki na tuhuma hizo.

Sasa kama Masanilo ana data basi azilete hapa kuliko kutoa tuhuma ambazo hazina ukweli wowote.


- Ndio uzuri wa JF siku zote tunaweza kuwafikia na kupata dataz kutoka kwenye mdomo wa farasi mwenyewe, ahsante sana mkuu!

- Sasa tusubiri dataz za upande wa pili, binafsi so far ninaridhishwa sana na CV ya huyu Mukasa kwamba anaweza kua kichwa na kufanya tofauti huko Biharamulo.

Respect.

FMes!
 
..nilikuwa nimeingia katikati ya thread nikafikiri Oscar Mukasa ni mgombea wa Chadema.

..i met this guy thr' some friends. kwa kweli sikutegemea kama anaweza kujiunga na CCM iliyochafuka na inayonuka kiasi hiki.

..but as they say, ppl change...or maybe he knows what he is doing.

..lakini kwa kweli najiuliza tena na tena: anatafuta nini ndani ya CCM huyu?
 
- Ndio uzuri wa JF siku zote tunaweza kuwafikia na kupata dataz kutoka kwenye mdomo wa farasi mwenyewe, ahsante sana mkuu!

- Sasa tusubiri dataz za upande wa pili, binafsi so far ninaridhishwa sana na CV ya huyu Mukasa kwamba anaweza kua kichwa na kufanya tofauti huko Biharamulo.

Respect.

FMes!

Tusiyeyushane, kama yuko Chuo Cha Mafisadi mambo ni yale yale tu.
 
..nilikuwa nimeingia katikati ya thread nikafikiri Oscar Mukasa ni mgombea wa Chadema.

..i met this guy thr' some friends. kwa kweli sikutegemea kama anaweza kujiunga na CCM iliyochafuka na inayonuka kiasi hiki.

..but as they say, ppl change...or maybe he knows what he is doing.

..lakini kwa kweli najiuliza tena na tena: anatafuta nini ndani ya CCM huyu?

Ataka kula huyo
 
..nilikuwa nimeingia katikati ya thread nikafikiri Oscar Mukasa ni mgombea wa Chadema.

..i met this guy thr' some friends. kwa kweli sikutegemea kama anaweza kujiunga na CCM iliyochafuka na inayonuka kiasi hiki.

..but as they say, ppl change...or maybe he knows what he is doing.

..lakini kwa kweli najiuliza tena na tena: anatafuta nini ndani ya CCM huyu?

Kwani kuna tatizo gani kuwa mgombea wa nafasi yoyote kupitia CCM?
Si kila mwanachama, shabiki au kiongozi wa CCM ni corrupt/fisadi!
Afterall,The guy sounds smart. Amekubaliana na sera za CCM, na ameona akiongeza nguvukazi na utaalamu wake ataleta mabadiliko jimboni kwake. Let us be fair and balance. Tusibiri matokeo ya utendaji wake iwapo atachaguliwa then tumuweke kwenye mizani!
 
Brutus said:
Kwani kuna tatizo gani kuwa mgombea wa nafasi yoyote kupitia CCM?
Si kila mwanachama, shabiki au kiongozi wa CCM ni corrupt/fisadi!
Afterall,The guy sounds smart. Amekubaliana na sera za CCM, na ameona akiongeza nguvukazi na utaalamu wake ataleta mabadiliko jimboni kwake. Let us be fair and balance. Tusibiri matokeo ya utendaji wake iwapo atachaguliwa then tumuweke kwenye mizani!

Brutus,

..ndiyo maana nikasema labda amebadilika, or he knows what he is doing.

..huenda huyu anakwenda kuleta mabadiliko ya kweli ndani ya CCM.

..CCM imechafuka sana sasa hivi, inanuka kwelikweli. imefika mahali mafisadi wana nguvu na sauti ndani ya chama na serikali kuliko wanachama wasafi.

..sasa katika mazingira kama hayo, ndiyo maana wengine tunashangaa kijana safi, aliyeelimika kama Oscar Mukasa, amevutiwa na kitu gani huko CCM?
 
Kwani kuna tatizo gani kuwa mgombea wa nafasi yoyote kupitia CCM?
Si kila mwanachama, shabiki au kiongozi wa CCM ni corrupt/fisadi!
Afterall,The guy sounds smart. Amekubaliana na sera za CCM, na ameona akiongeza nguvukazi na utaalamu wake ataleta mabadiliko jimboni kwake. Let us be fair and balance. Tusibiri matokeo ya utendaji wake iwapo atachaguliwa then tumuweke kwenye mizani!

- Maneno mazito sana mkuu, darasa zito hilo!

FMES!
 
Kama CCM imechafuka basi huu ndio wakati mwafaka wa mapambano.Mwenzetu kaamua kuingia kwenye inner-core ya struggle. There is nothing bad about it. Hakuna cha kushangaa hapo, ndio demokrasia!
 
Kama CCM imechafuka basi huu ndio wakati mwafaka wa mapambano.Mwenzetu kaamua kuingia kwenye inner-core ya struggle. There is nothing bad about it. Hakuna cha kushangaa hapo, ndio demokrasia!

Tusisahau jambo moja, Rwegasira anajaza tu nafasi iliyoachwa wazi kutokana na kifo - kwa hiyo namba ya wabunge wa CCM inabaki pale pale. Sasa kama tegemeo la mabadiliko ndani ya CCM yako kwa huyu kijana peke yake - kazi ipo. Lakini mimi bado naamini ni rahisi yeye kubadilishwa na CCM kuliko yeye kuibadilisha CCM. Kama alivyowahi kuuliza Baba wa Taifa kuhusu kukimbilia ikulu na mimi nauliza kwa hali ya CCM ilivyo hivi sasa - kwa nini Rwegasira, kama kijana makini, anakimbilia CCM, kuna biashara gani huko ?

Pili naona kuna tabia inaanza kujengeka humu ambayo inapingana na msimamo wa JF ya kumkoma nyani bila kumwangalia sura. Tunaanza kuruhusu utetezi kwa hoja za nguvu pale mhusika anapotokea kuwa ndugu, jirani, rafiki au mshikaji. Hata hivyo nauliza kitu kimoja, inaonekana kuna jitihada za kulizika jina Mukasa ingawaje mwanzoni tuliambiwa na washikaji wake kuwa anaitwa Oscar Mukasa na sasa ni Oscar Rwegasira. Je kuna kitu kinafichwa ?
Wana CCM ni birds of a feather.......
 
Mukasa ingawaje mwanzoni tuliambiwa na washikaji wake kuwa anaitwa Oscar Mukasa na sasa ni Oscar Rwegasira. Je kuna kitu kinafichwa ?
Wana CCM ni birds of a feather.......

- Yote matatu ni majina yake, kama vile Job kujiita Lusinde wakati ni Malecela, au Balozi Weddy kujiita Mwasakafyuka wakati ni Ngwilulupi, sidhani kama walikuwa wanajaribu kuficha anything, unless kuna something missing hapa kiwekwe wazi, au? JF huwa haangaliwi mtu sura wala jina!

Respect.

FMEs!
 
Wakuu; Nimeongea kwa simu na Oscar, alikuwa njiani kuelekea Bihalamulo na nimemuuliza juu ya tuhuma hizo hapo juu zilizotolewa na Masanilo. Kwa kweli amesikitika sana na amekanusha vikali kuwa hausiki na tuhuma hizo.

Sasa kama Masanilo ana data basi azilete hapa kuliko kutoa tuhuma ambazo hazina ukweli wowote.

Nilisema toka jana sina sababu ya kuweka personal za Oscar hapa hutaki kuelewa sio! Ninamfahamu huyu jamaa kuliko wewe najua mchakato mzima hadi kupita, alipigwa zengwe sana hadi JK alipoamua kufanya naye mazungumzo na kushawishi kikao. Siwezi andika uzaifu wake hapa narudia, kama binadamu anamapungufu kama niliyo nayo mimi....! Nimeongea naye pia na ninamtakia kila laheri kwenye uchaguzi huo ambao najua atashinda nitakuwa na baada ya uchaguzi nitakuwa na mazungumzo naye ili asije potelea kwenye dibwi la mafisadi na wazee walio CCM waliochoka kimawazo. Acha kuongea naye amekuwa akipata support yangu tokea mwanzo kuna vitu tuna tofautiana lakini mtizamo tu, si lazima niwe sahihi

Kayanga twende

Mas
 
Kama CCM imechafuka basi huu ndio wakati mwafaka wa mapambano.Mwenzetu kaamua kuingia kwenye inner-core ya struggle. There is nothing bad about it. Hakuna cha kushangaa hapo, ndio demokrasia!
Hebu nitajie ni nani ndani ya CCM amethubutu kuhoji status quo? Ukishaingia huko ama unyamaze, kubali kufuata mkumbo, au kuwa sidelined. Waulize wote wanaohoji mambo ya ufisadi kama hali yao ndani ya CCM ni mswano. CCM ina wenyewe!
 
Nilisema toka jana sina sababu ya kuweka personal za Oscar hapa hutaki kuelewa sio! Ninamfahamu huyu jamaa kuliko wewe najua mchakato mzima hadi kupita, alipigwa zengwe sana hadi JK alipoamua kufanya naye mazungumzo na kushawishi kikao. Siwezi andika uzaifu wake hapa narudia, kama binadamu anamapungufu kama niliyo nayo mimi....! Nimeongea naye pia na ninamtakia kila laheri kwenye uchaguzi huo ambao najua atashinda nitakuwa na baada ya uchaguzi nitakuwa na mazungumzo naye ili asije potelea kwenye dibwi la mafisadi na wazee walio CCM waliochoka kimawazo. Acha kuongea naye amekuwa akipata support yangu tokea mwanzo kuna vitu tuna tofautiana lakini mtizamo tu, si lazima niwe sahihi

Kayanga twende

Mas


Binadamu Bwana! We umeshampaka mwenzako kwa kumwambia Fisadi, Kaiba Computer na Forgery sasa hivi unasema huwezi ukaongea mambo yake binafsi. Hapo hapo unadai wewe ni rafiki yake na umekuwa ukimpa sapoti toka mwanzo. Sasa kulikuwa na haja gani ya kuja kumchafua na kutishia watu wakimpamba utaleta dataz zake zote!

Sasa hivi Kila Mtu anamfahamu Oscar na ni rafiki yake wa karibu!

Mkuu Oscar au Ben, kama mnasoma post hii, basi mnayo kazi ya kuchuja marafiki!

Najuta Kukufahamu . . . . !

QED
 
Tusisahau jambo moja, Rwegasira anajaza tu nafasi iliyoachwa wazi kutokana na kifo - kwa hiyo namba ya wabunge wa CCM inabaki pale pale. Sasa kama tegemeo la mabadiliko ndani ya CCM yako kwa huyu kijana peke yake - kazi ipo. Lakini mimi bado naamini ni rahisi yeye kubadilishwa na CCM kuliko yeye kuibadilisha CCM. Kama alivyowahi kuuliza Baba wa Taifa kuhusu kukimbilia ikulu na mimi nauliza kwa hali ya CCM ilivyo hivi sasa - kwa nini Rwegasira, kama kijana makini, anakimbilia CCM, kuna biashara gani huko ?

Pili naona kuna tabia inaanza kujengeka humu ambayo inapingana na msimamo wa JF ya kumkoma nyani bila kumwangalia sura. Tunaanza kuruhusu utetezi kwa hoja za nguvu pale mhusika anapotokea kuwa ndugu, jirani, rafiki au mshikaji. Hata hivyo nauliza kitu kimoja, inaonekana kuna jitihada za kulizika jina Mukasa ingawaje mwanzoni tuliambiwa na washikaji wake kuwa anaitwa Oscar Mukasa na sasa ni Oscar Rwegasira. Je kuna kitu kinafichwa ?
Wana CCM ni birds of a feather.......

Dada/kaka Mag3 shukurani kwa mawazo yako lakini nina maswali kadhaa ya kuku uliza. Je ni sawa kumhukumu mtu mmoja mmoja kwa makosa ya wengine? Mfano mmoja ni ufisadi. Je ni haki mgeni kusema watanzania wote ni wezi na mafisadi? Hapo ume fanya generalization which is wrong.

Umesema CCM wote mafisadi lakini hauja toa alternative. Hauwezi kusema tu chama fulani kibaya halafu usiwaambie ni chama gani ni kizuri na kwanini. Sasa CCM hakifai achaguliwe nani badala yake na kwanini? Uki fanya hivyo uta saidia watanzania wengi sana.

Umesema kwa nini kijana makini akimbilie CCM lakini kwa mara nyingine hauja toa alternative. Kijana makini akimbilie wapi na kwanini? Hakuna mtu anaye endelea bila kuwa opportunist. Kila mtu anaendelea pale anapo ona patam saidia kutimiza malengo yake. Kama vyama vya upinzani anaona haviwezi kumpa ubunge kwa nini aendee huko?

Swali la mwisho ni je huko upinzani kila mtu ni safi? Mtu akiwa upinzani ina maanisha siyo fisadi? Sababu kubwa ya upinzani kuto kuonekana mafisadi kama CCM ni kwa sababu hawaja wahi kushika nchi kwa hiyo hawaja wahi kushikilia taasisi kubwa ambazo sasa hivi zina skendo za ufisadi. Sasa uki tupa ushahidi kuwa upinzani hamna ufisadi au kuwa upinzani ndiyo bora utatu saidia kufanya maamuzi mazuri watanzania.

Kwa ufupi ni kwamba usi pinge kitu bila kutoa njia nyingine mbadala. Uki pinga kitu fulani sema ni kipi kitafaa na kwa nini. Kufanya maamuzi ya kibusara lazima ujue pande zote mbili. Haya ni mawazo yangu tu na naku shukuru kwa yako.
 
Hebu nitajie ni nani ndani ya CCM amethubutu kuhoji status quo? Ukishaingia huko ama unyamaze, kubali kufuata mkumbo, au kuwa sidelined. Waulize wote wanaohoji mambo ya ufisadi kama hali yao ndani ya CCM ni mswano. CCM ina wenyewe!

Mkuu Jasusi,

Mbona Wangwe alihoji mambo ndani ya CHADEMA na hakuwa salama?

Hizo tabia za viongozi uchwara ziko kwenye jamii zetu zote. Hata majumbani kwetu wanetu hawawezi kuhoji kitu; wanaweza kuambulia makofi.

Sidhani kama ni tabia ndani ya CCM tu, ni tabia kwenye jamii nzima. Angalia kule kwa Mrema nako huwezi kuhoji kitu. Angalia kule CUF yule jamaa alipogombea badala ya kusikiliza hoja zake wakaanza kumzomea; si ajabu walipangwa ili wazomee.
 
Hebu nitajie ni nani ndani ya CCM amethubutu kuhoji status quo? Ukishaingia huko ama unyamaze, kubali kufuata mkumbo, au kuwa sidelined. Waulize wote wanaohoji mambo ya ufisadi kama hali yao ndani ya CCM ni mswano. CCM ina wenyewe!

- Mkuu Jasusi umeanza tena yale makengeza yako inapokuja Chadema, yaani tayari hujui kwamba Marehemu Wangwe naye alihoji status quo huko Chadema? Ahhgggrrr!

Respect.

FMEs!
 
Back
Top Bottom