Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Katiba Inayopendekezwa ni yenu;Serikali ni yenu;Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni yenu;Wapigakura mnao kwa mamilioni;UKAWA hawatashiriki,kampeni ya kazi gani?
Au hamjiamini katika kufikia akidi? Hofu inatoka wapi hadi muendelee kutumia mabilioni kufanya kampeni luningani,magazetini,mitandaoni na mikutanoni?
Kama kweli nyinyi ni nambari wani,kampeni hazina haja. Msubiri tu Aprili 31 na mjaze kura.
Au hamjiamini katika kufikia akidi? Hofu inatoka wapi hadi muendelee kutumia mabilioni kufanya kampeni luningani,magazetini,mitandaoni na mikutanoni?
Kama kweli nyinyi ni nambari wani,kampeni hazina haja. Msubiri tu Aprili 31 na mjaze kura.