Uchaguzi 2020 CCM Karatu yarejesha Halmashauri baada ya miaka 20

Uchaguzi 2020 CCM Karatu yarejesha Halmashauri baada ya miaka 20

Mwaka huu campaign za Magufuli alizifanya tofauti sana. Sehemu zote alikuwa anapita na kuzungumza kwa mamlaka kama Rais huku akisisitiza kwamba hatoleta maendeleo kama hawatochagua mbunge wa CCM

Yaani akipita sehemu anauliza mapema shida kuu ya sehemu husika ni nini (maji? Lami? Umeme? Etc) then anatumia hiyo shida “kuwatishia” wananchi.

Ukichanganya na wizi wa kura, mbinu hii somehow imefanya kazi.
Kweli japo haikuwa sahihi kwake kutumia kauli hiyo.
 
Hee karatu tena!!!!@si ndio cdm na Lissu picha za mkutano wake wa kampeni walikuwa wakizitumia kuuzia sura mitandaoni?!
 
Back
Top Bottom