CCM Kazi na UTU mnadanganya umma.

CCM Kazi na UTU mnadanganya umma.

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Kwa yanayoendelea nchini miaka mitatu ya serikali hii ya Chama hiki na mwenendo' na kauli za Vijana wa Chama hiki, kusema mnajali UTU ni uongo mchana kweupe. Watu waliopotezwa na kuuawa chini ya Chama hiki katika miaka 3 hii huwezi kuongelea UTU watu wakakuelewa. Hakuna mahali Chama hiki nimewahi kukemea Mauaji au UTEKAJI wa wanasiasa. Leo kuwaambia Watanzania nyie mna UTU ni kuwadhohaki. Chama chenye dhihaka Kwa watu wake ni hatari.
 
Mpaka leo sijajibiwa ili swali ?.Kwa nini ccm hawana Akili
 
KAZI na utu!
 

Attachments

  • images (2) (1).jpeg
    images (2) (1).jpeg
    44.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250216-182754_1.jpg
    Screenshot_20250216-182754_1.jpg
    363.2 KB · Views: 1
  • IMG-20250128-WA0054.jpg
    IMG-20250128-WA0054.jpg
    142.5 KB · Views: 1
  • EB1a2SzUcAANopf.jpg
    EB1a2SzUcAANopf.jpg
    77.8 KB · Views: 1
Utu wa kuteka, kutesa,kupoteza na kuua viongozi wa Chadema? Masheitwan wakubwa nyie maccm
 
Back
Top Bottom