CCM kuitisha mkutano mkuu wa taifa wa dharura haraka iwezekanavyo kujaza nafasi ya Mwenyekiti wa taifa iliyo wazi.

Kikao kinafanyika Lumumba
 
Nimekuelewa sana, chama kisiwe state apparatus!
Serikali inasimamia chama🤔
Shida nyingi zimeanzia hapo!
Vivuruge kina Lugola kulazimisha makamanda kutembea na ilani e.t.c!

Everyday is Saturday............................ 😎
 
Bado unahasira sana...Tanzania ina taasisi imara kuliko mlivyotaka kuaminisha dunia

..Magufuli alihalalisha matendo ya UKATILI dhidi ya wafuasi wa vyama vya upinzani.

..mategemeo yangu ni kwamba Mama Samia atarejesha HAKI, na utawala unaofuata sheria na katiba.
 
Unavyoandika na kuchangia humu sasa hivi inaonyesha umekosa ujasiri na kupooza kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…