Pre GE2025 CCM kulikoni? Wanagawa kadi za chama chao kama njugu mitaani!

Pre GE2025 CCM kulikoni? Wanagawa kadi za chama chao kama njugu mitaani!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Leo nimepokea mialiko miwili kupitia magroup ya WhatsApp kuniomba niende kujiandikisha na kupewa kadi ya CCM.

Mtaa mmoja nimekuta kundi kubwa la vijana wa mitaani waliochoka kimaisha, wakiwa na viongozi wa CCM wenye vitambi wakigawiwa kadi. Pia kuna akinamama wanaosimama njiani kualika wapita njia kujiandikisha na kupewa kadi.

Je huu ni mradi wa DPW kujihakikishia usalama na ulaji mzuri bila misukosuko? Tafakari
 
Mungu yupo na raia wapo watakao support ccm lakini kindakindaki wana kera sana viongozi wa ccm
 
Mwanzo wa sarakasi za uchaguzi . Subiri tu kama hujasikia watu wanatembea bila utumbo . Hakuna kulalamikia rushwa bali ni ngumi na ikishindikaba basi utumbo tuu ubaki yeye aende
 
Back
Top Bottom