CCM kumchukulia hatua za kinidhamu mbunge Catherine Magige na wenzie kwa kuvamia msiba na kukosa utu

Wale Wadangaji walikuwa wamelewa chakari pamoja na Mdangaji wao mkuu huyo Magige. Wametia aibu kubwa sana
Mkuu kama kulewa ni aibu kwanini vilevi viuzwe?Kunywa bila kulewa ni sawa na kutotimiza lengo la unywaji,kunywa bila kulewa ni sawa na kusafiri bila kufika kule unapokwenda..Kama unakunywa pombe halafu hutaki kulewa bora unywe tu maji au sodaTafadhali sana hebu tuheshimu sisi walevi!!!
 
Nilivyoona ile clip inasindikizwa na "CCM hoyeeee" nilijua tu hili tamko litafuata. CCM kimejaza na kulea makahaba na wadangaji sugu mjini.
 
Wewe Mchagga?
 
Aisifiae mvua.......
Tangu TCRA wamepandisha vifurushi naona umepigwa daflao maana fujo zako zoote hapa jamvini zimekwisha kudadadeeki.

Chakubanga naye hali ya kiuchumi ni tia maji tu maana lumumba katimuliwa.
 
Wivu tu. Wakati akiwa hai mbona alitengana na mme.

Wanawake jueni ukisusa wenzako wanakula. Ningekuwa mi marehemu ningeinuka nimukatalie Unafiki wake wa kunipenda nikiwa marehemu
Kama hujui chanzo, sio vizuri kumtuhumu
 
You said it all mkuu. Umemaliza[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Huyu dada angeachana tuu akaomboleza kivyake.
 

Unajua maana ya Kunywa kistaarabu wenyewe wanasema “Drink responsibly”. Kwa Taarifa yako Mimi ni mdau mkubwa sana kwa Sector hiyo. Kuwa mnywaji hakukufanyi ufanye mambo ya kipuuzi.
 
Wanaume mtulie na wake zenu uzinzi.utawaua mapema mtuache sie tunapeta
 
Hapa umedanganya! Ni jamaa mmoja aliyemtonya Aziza; Aziza ikabidi a confirm kwa shemeji yake aliyekuwa na marehemu hospitali.

Ooh,hii nimeisoma hapa hapa kwa member mmoja huko nyuma anaedai alikuwepo Hospital wakati Marehemu analetwa Hospital kwa gari ya Crown nyeusi akashuka akiwa anapepesuka na kisha kuomba aitiwe Mkewe Aziza.Asante kwa sahihisho Mkuu [emoji1666][emoji1666]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…