Mkuu kama kulewa ni aibu kwanini vilevi viuzwe?Kunywa bila kulewa ni sawa na kutotimiza lengo la unywaji,kunywa bila kulewa ni sawa na kusafiri bila kufika kule unapokwenda..Kama unakunywa pombe halafu hutaki kulewa bora unywe tu maji au sodaTafadhali sana hebu tuheshimu sisi walevi!!!Wale Wadangaji walikuwa wamelewa chakari pamoja na Mdangaji wao mkuu huyo Magige. Wametia aibu kubwa sana
Mama zetu huwa nao wana sentiment zao. Hawezi kumkubali bi mdogo hata kwa upanga. Hiyo kawaidaMuacheni tu huyo Dada tayari Mama wa Marehemu alishamalizana naye pale makaburini.
Wewe Mchagga?Kiki ama amejichafulia? Yes marehemu amedhalilika kwakua amekua na tamaa. Na liwe funzo kwa wanaume wote muliobaki. Vipi kwa huyo hawara aliyebaki hai bado? Amejidhalilisha kiasi gani. Hivi unajua yule mke mstaarabu sana? Angekuja kwetu tumfurahishe japo kidogo. Mnatetea ujinga mukiacha watoto wanaumia.
Tumeona kabisa mtoto ndiye aliyemwambia mama yake pale kuhusu shada lile alaliondoe. Imagine kitoto kidogo vile. Ina maana wako aware na huyo kahaba aliyokya akiyafanyia familia yao na hasa mama yao. Mimi ningempa shoo kali. Ngoja nimiliki kwanza bastola. Halag tumia akili mkuu. Unanitia hasira
Ngona nikipata bastola ndo utajua jibu[emoji23]Wewe Mchagga?
Huyu siyo magige kweliNgona nikipata bastola ndo utajua jibu[emoji23]
Mchungaji nae ameua
Na ndio waliojazana kwenye nyazifa mbali mbali,mule kwenye jengo la posho ndio usiseme,kimekuwa ni kama kijiwe chao cha makutano ya kupanga udangajiTatizo la wadangaji kuwa viongozi ndo hili.
Tangu TCRA wamepandisha vifurushi naona umepigwa daflao maana fujo zako zoote hapa jamvini zimekwisha kudadadeeki.Aisifiae mvua.......
Alishamchoka huyo mwanaume!
Kama hujui chanzo, sio vizuri kumtuhumuWivu tu. Wakati akiwa hai mbona alitengana na mme.
Wanawake jueni ukisusa wenzako wanakula. Ningekuwa mi marehemu ningeinuka nimukatalie Unafiki wake wa kunipenda nikiwa marehemu
Hapa umedanganya! Ni jamaa mmoja aliyemtonya Aziza; Aziza ikabidi a confirm kwa shemeji yake aliyekuwa na marehemu hospitali.Kwa taarifa yako Marehemu alimwita mke wake wa Ndoa dakika za mwisho za uhai wake na ndiye amemfia mikononi mwake.
You said it all mkuu. Umemaliza[emoji119][emoji119][emoji119]Mbona unachanganya mambo? Nani kasema alivamiwa na mapolisi wakati yeue ndo aliyeongozana nao? Sijui ni wewe ama mwingine huko juu aliyesema polisi ilibidi ndo wadeal na magige kwa kuinvade yeye na genge lake kwenye mji wa watu nami nikakubaliana na hoja yake sijui yako yes polisi walipaswa kuanza kuwajibika na magige pale pale ila kwakua madaraka yanatumika vibaya basi wakawa kama ndugu wasikilizaji.
And yes, yeye magige amepewa ruhusa ya kuhudhuria msibanj kama nani wa marehemu? Mnajua jitambueni na ujinga uwatoke? Hana haki yoyote ya msingi. Yeye ni kiongozi. Na anapaswa kutaishi maadili ya uongozi tena hasa ya chama chake na kanuni zinavyomtaka kulinda na kutetea haki za wanawake wenziye na watoto. Katarina amevuruga ndoa za wangapi? Ama wewe umemjua leo? Katarina ni kahaba mzoefu. Huyuhuyu mume wa aziza mnayetetea sijui katarina ndi kipenzi chake ndo huyihuyo katarina ameenda msaliti kwa mwanaume mwingine halaf wasema nn? Katarina ana bwana mmoja? Ama tufungulie vaults hapa tukimbiane? Anapaswa kuwajibishwa. Na ikibidi hata wale walioongozana naye wale viongozi wenzake.
Kama it was personal kwaninj aliongozana na mpk mbunge na wengineo mpk wamama wa UWT. Usijitoe ufahamu asilani. Na zaidi tukasikia ccm hoyeeee.
Halafu ukishakua kiongozi maisha yako uhuru umeahanunuliwa. Kama yeye kahaba anadhulumu haki za wengine je yeye tutamuamini vipi anaweza kulinda na kutetea wanyonge waliokosa sauti. Unafahamu kwamba huyu ni mtunga sheria? Tusijadili hata elimu yake na historia yake maana ni kinyaa. Eti katarina naye mtunga sheria. Hawa UWT umalaya umewajaa tu majority.
Tatizo la wadangaji kuwa viongozi ndo hili.
[emoji23][emoji23]
Mkuu kama kulewa ni aibu kwanini vilevi viuzwe?Kunywa bila kulewa ni sawa na kutotimiza lengo la unywaji,kunywa bila kulewa ni sawa na kusafiri bila kufika kule unapokwenda..Kama unakunywa pombe halafu hutaki kulewa bora unywe tu maji au sodaTafadhali sana hebu tuheshimu sisi walevi!!!
[emoji1666][emoji1666]You said it all mkuu. Umemaliza[emoji119][emoji119][emoji119]
Hapa umedanganya! Ni jamaa mmoja aliyemtonya Aziza; Aziza ikabidi a confirm kwa shemeji yake aliyekuwa na marehemu hospitali.