KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Ukweli ni upi....??Si kweli.
Polygamy sawa ni sehem ya utamaduni, lakini una utaratibu wake.Msituletee mila za mashoga hapa, wenye kudai wana ndoa za mke mmoja ndoa zimewashinda wanaoana jinsia moja sasa na kulawiti hadi watoto. Sisi ni waafrika na mila zetu polygamy ni sehemu ya utamaduni wetu. Wivu wa uke wenza hadi makaburini!! ndoa ilishakufa hiyo mke halali my foot!! Marehemu aliishi na huyo Magige ni ujinga kumzuia kuingia msibani.
Hujui ulisemalo. Huyo bwana kahama nyumbani mwaka Jana baada ya matokeo ya Kura. Na lilikua anakata roho alikuwa anaomba aitiwe mke wake aziza na alkua anamwonba msamaha, sijahadithiwa nilikuepo haponkwa Dr mohamed alipoingizwa kwenye chumba Cha sindano.
Lakini ni kwanini wale wapambe wa mbunge wavinje Ile gate, waingie msibani kwa nguvu, wamekuta ibada inaendelea hawakuheshimu Ile ibada mbunge akaweka shada... Halafu wakawa wanasema ccm hoyee na wapo na viongozi wa UWT? Kwanini waliingizwa mambo ya chama kwenye mambo binafsi???
Hata sisi TFF hatuna.....kwa kifupi kibongobongo hatuna huo utamaduni ni wa magharibi huko.Hatuna huo utamaduni wa kujiuzulu/kuwajibika hasa CCM
Mwanaume hatosheki na ndio maana sisi wenye imani zingine tunaruhusu Mtu kuongeza....na hata baadhi ya mila zetu zinaruhusu.Malaya akaweke shada kaburini? Kahaba? Hawara? Apewe nafasi? Kmmk kweli yulee kahaba. Ndoa ni moja tu kanisa katoliki. Na wamemchekea kweli. Alitakiwa kulishwa mitama. Kulala na mume wa mtu ndo heshima?
Unapokuwa kiongozi wa umma huna maisha yako binafsi, huo uhuru unaondoka automatic. Kila unachokifanya kinawakilisha uongozi wako, huwezi kuvuruga taswira ya kioungozi ukasema ni maisha yako binafsi.Huyu Shaka na CCM wameonyesha udhaifu mkubwa japo wanaweza kudhani wamefanya jambo la maana. Catherine ni mfiwa na kilichotokea kilipaswa kulaaniwa. Kwanini azuiwe kumzika 'mtu wake? Hapa CCM walitakiwa wakae kimya kwa kuwa wanataka kuingilia maisha binafsi ya Catherine. At this juncture huwezi kum label Catherine kuwa ni mvamizi! msiba hauna mvamizi...
Haifuti jina la kahaba, hawara, malaya.Mwanaume hatosheki na ndio maana sisi wenye imani zingine tunaruhusu Mtu kuongeza....na hata baadhi ya mila zetu zinaruhusu.
Huyo Dada ahukumiwe kwa kusumbua amani msibani tu, lakini kuwa Mke/hawara/Mchumba wa Mtu tutamuonea tu bure ili hali Mhusika Mkuu ni huyo Mwanaume....ukimuita Kahaba vipi kuhusu Mwanaume?....kumlaani Cath ni kumlaani Mwanaume pia....au la basi tuwalaani wote.
Amekosea sana kudate na mume wa mtu wakati anajua ana mke na watoto na ndoa haikuvunjwa bado ni mke halali kabisa. Na hata huko mahakamani hakuwahi kudai talaka. Dada wa mwendazake kahojiwa kasema.Inawezekana kabisa yote unayosema ni sawa. Na kama alitaka kumuomba mke wake samahani ni dhahiri alijua yeye ndie amekosea. Hapo Catherine amehusikaje? Imani kuwa wanaume hawana akili ndio inayowafanya wafanye upumbavu kwa sababu wanajua siku zote mtawalaumu wanawake wenzake.
Kiafrika hatualikani kwenye msiba. Na mtu hakatazwi kumlilia marehemu hata kama walikosana. Kulikuwa hamna haja ya kufunga geti.
Umeharibu kwenye hilo la ibada kwa sababu wote tumeona kuwa aliweka shada walipoitwa majirani kuweka shada na sio wakati wa ibada. Kama unasema uongo kwa kitu kidogo kama hiki kwa nini tukuamini kwa hayo mengine.
Ukweli ni kuwa aliyedhalilishwa hapa ni marehemu. Kama kweli mlimpenda msinge ruhusu hali hiyo itokee.
Amandla...
Dada sio kila anayesimama upande usiosimama wewe maana yake yupo upande wa adui yako.Ngoja kwanza. Wewe ni mojawapo ya makahaba, chawa wa kahaba, malaya wa mjini ama mduguye na kahaba? Na atabadilishiwaje umiliki kwa mali za mume na mke walizochuma pamoja? Na hapo ndo atalapofurahishwa zaidi. Yaani kwa usalama wake ajisalimishe mapema tu. Si tumewaona kina klyn na kamata? Basi ajiandae. Kinachofurahisha zaidi ni kahaba hata sj mke wala nn. Ngojea utaona shoo
Una hekima sana.Kama unapata hasira kiasi cha kutaka kuua mtu kwa sababu tu mtu kakushauri usichokipenda basi una matatizo. Ndio maana nilisema mkiwapa watu kiki na mambo yakaingia kwenye mitandao, wote mtapata maumivu.
Naona niachie hapo.
Amandla....
Ttz watu wanafki sanaMwanaume hatosheki na ndio maana sisi wenye imani zingine tunaruhusu Mtu kuongeza....na hata baadhi ya mila zetu zinaruhusu.
Huyo Dada ahukumiwe kwa kusumbua amani msibani tu, lakini kuwa Mke/hawara/Mchumba wa Mtu tutamuonea tu bure ili hali Mhusika Mkuu ni huyo Mwanaume....ukimuita Kahaba vipi kuhusu Mwanaume?....kumlaani Cath ni kumlaani Mwanaume pia....au la basi tuwalaani wote.
Kafiwa na hawarayakeHaifuti jina la kahaba, hawara, malaya.
Naomba utuambie mbunge amefiwa na nani yake..
Halaf kumbe unasemea imani zingine. Basi pia unatambua kuna imani nyingine mkuu. Ndo maana wameiacha hivyo hao wanne wanawatoshaga? Si bado mnapiga matukio pia? Ni kwenye maandiko gani uliona walimwita mwanaume majina mabaya kwa uzinzi kama kahaba, malaya ama hawara? Nisaidie. Ama mzinzi kwa kumspecify kabisa wewe juma mzinzi.
La kuongezea. Aziza na mbunge walikua mabestie. Wa kutupwa. Leo hii yeye ndo wa kuwa na mume wa shoga yake tena wa ndoa? Bora ingekua madanga tu. Na unajuaje kama si Aziza ni chanzo cha mgogoro wa ndoa? Nani hajui hawa madada qa mjini walivyo na tamaa za mali na wivu?
Ila mwisho wa siku Mungu hujidhihirisha penye nia ovu. Akamfyeka marehemu. Watoto wamekosa baba na mke amepoteza mume. Katarina amepoteza nn? Katarina is too lucky si uchaggani amefanya haya jana. Angefurahiaaaaaa....
Kupeleka vurugu kwenye msiba pia ambao si mwanafamilia unazidi kumshusha. Sasa aendelee kujikuna wamuwashe.
Tatizo la wadangaji kuwa viongozi ndo hili.
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimechukizwa na kulaani kitendo kilichofanywa na baadhi ya viongozi wa umoja wa wanawake wa chama hicho Mkoa wa Arusha wakiongozwa na mbunge wa viti maalum, Catherine Magige.
Mbunge huyo jana Alhamisi Mei 27, 2021 alikwenda makaburini yalikokuwa yakifanyika mazishi ya mfanyabiashara Kuzula Madoda inayedaiwa kuwa ni mchumba wake. Madoda alifariki dunia Mei 24, 2021 na ameacha mke, Aziza Msuya na watoto.
Kitendo cha Catherine kwenda makaburini kiliibua hali ya sintofahamu kutokana na watu waliokuwa naye kuvunja geti na kuingia katika makaburi hayo ya familia.
Taarifa ya chama hicho iliyotolewa na katibu wa itikadi na uenezi, Shaka Hamdu Shaka leo Ijumaa Mei 28,2021 inaeleza kuwa CCM inaheshimu katika kujenga uimara wa familia, kuheshimiana ndani ya jamii na kuendeleza upendo katika familia halali badala ya mivutano na uvurugaji usiokuwa na sababu.
"Chama kinatafakari kwa undani kwa mujibu wa kanuni za maadili na katiba ya CCM na kuchunguza kwa kina ili kuchukua hatua za kimaadili kwa wote watakaothibitika kuwa sehemu ya matukio yaliyojenga kukiuka kwa katiba, kanuni na utamaduni wa kuheshimu na kuheshimiana uliojengeka ndani ya CCM," inaeleza taarifa hiyo.
PIA, SOMA=> Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini
=====
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimechukizwa na kulaani kitendo kilichofanywa na baadhi ya viongozi wa UWT Mkoa wa Arusha wakiongozwa na Mbunge wa Viti Maalum Catherine Magige.
CCM inaamini katika kujenga uimara wa familia, kuheshimiana ndani ya jamii na kuendeleza upendo katika familia halali, badala ya mivutano na uvurugaji usiokuwa na sababu.
Chama kinatafakari kwa undani kwa mujibu wa kanuni za maadili na Katiba ya CCM, na kuchunguza kwa kina ili kuchukua hatua za kimaadili kwa wote watakaothibitika kuwa sehemu ya matukio yaliyojenga kukiuka kwa katiba, kanuni na utamaduni wa kuheshimu na kuheshimiana uliojengeka ndani ya CCM.
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmshauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
28 Mei 2021
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti rafiki yake. Hebu tuambie hiyo ndoa ilifungiwa wapi na lini. Ujue unajidhalilisha. Rafiki gani usiyejua hata ABCDWatanzania mnapenda udaku sana . Aliyefariki ni rafiki yangu anaitwa kuzula Madoda pamoja na kusoma naye Ilboru namjua toka tukiwa Primary Arusha. Huyu hakuwa mchumba ni mke wake na walikuwa wanakaa pamoja. Aliachana na mke wake wa zamani na kumuoa huyu mbunge na walikuwa wana kaa pamoja Dodoma sasa kufariki utamkatazaje mtu kama huyu kumwaga mpendwa wake! . Kuzula hakuamisha mali maana alikuwa na watoto lakini hakuna sababu ya kufungiwa gate kwa huyu mbunge kwasababu na maamuzi ya Kuzula mwenyewe. Alikuwa mtu mzima hivyo wajue maamuzi ni ya kuzula kumuoa huyu mbunge sasa Watanzania wanapenda drama kama vile alikuwa mchepuko!
Tumwache marehemu apumzike mahali pema peponi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti rafiki yake. Hebu tuambie hiyo ndoa ilifungiwa wapi na lini. Ujue unajidhalilisha. Rafiki gani usiyejua hata ABCD
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimechukizwa na kulaani kitendo kilichofanywa na baadhi ya viongozi wa umoja wa wanawake wa chama hicho Mkoa wa Arusha wakiongozwa na mbunge wa viti maalum, Catherine Magige.
Mbunge huyo jana Alhamisi Mei 27, 2021 alikwenda makaburini yalikokuwa yakifanyika mazishi ya mfanyabiashara Kuzula Madoda inayedaiwa kuwa ni mchumba wake. Madoda alifariki dunia Mei 24, 2021 na ameacha mke, Aziza Msuya na watoto.
Kitendo cha Catherine kwenda makaburini kiliibua hali ya sintofahamu kutokana na watu waliokuwa naye kuvunja geti na kuingia katika makaburi hayo ya familia.
Taarifa ya chama hicho iliyotolewa na katibu wa itikadi na uenezi, Shaka Hamdu Shaka leo Ijumaa Mei 28,2021 inaeleza kuwa CCM inaheshimu katika kujenga uimara wa familia, kuheshimiana ndani ya jamii na kuendeleza upendo katika familia halali badala ya mivutano na uvurugaji usiokuwa na sababu.
"Chama kinatafakari kwa undani kwa mujibu wa kanuni za maadili na katiba ya CCM na kuchunguza kwa kina ili kuchukua hatua za kimaadili kwa wote watakaothibitika kuwa sehemu ya matukio yaliyojenga kukiuka kwa katiba, kanuni na utamaduni wa kuheshimu na kuheshimiana uliojengeka ndani ya CCM," inaeleza taarifa hiyo.
PIA, SOMA=> Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini
=====
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimechukizwa na kulaani kitendo kilichofanywa na baadhi ya viongozi wa UWT Mkoa wa Arusha wakiongozwa na Mbunge wa Viti Maalum Catherine Magige.
CCM inaamini katika kujenga uimara wa familia, kuheshimiana ndani ya jamii na kuendeleza upendo katika familia halali, badala ya mivutano na uvurugaji usiokuwa na sababu.
Chama kinatafakari kwa undani kwa mujibu wa kanuni za maadili na Katiba ya CCM, na kuchunguza kwa kina ili kuchukua hatua za kimaadili kwa wote watakaothibitika kuwa sehemu ya matukio yaliyojenga kukiuka kwa katiba, kanuni na utamaduni wa kuheshimu na kuheshimiana uliojengeka ndani ya CCM.
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmshauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
28 Mei 2021