CCM kumchukulia hatua za kinidhamu mbunge Catherine Magige na wenzie kwa kuvamia msiba na kukosa utu

CCM kumchukulia hatua za kinidhamu mbunge Catherine Magige na wenzie kwa kuvamia msiba na kukosa utu

Hujui ulisemalo. Huyo bwana kahama nyumbani mwaka Jana baada ya matokeo ya Kura. Na lilikua anakata roho alikuwa anaomba aitiwe mke wake aziza na alkua anamwonba msamaha, sijahadithiwa nilikuepo haponkwa Dr mohamed alipoingizwa kwenye chumba Cha sindano.
Lakini ni kwanini wale wapambe wa mbunge wavinje Ile gate, waingie msibani kwa nguvu, wamekuta ibada inaendelea hawakuheshimu Ile ibada mbunge akaweka shada... Halafu wakawa wanasema ccm hoyee na wapo na viongozi wa UWT? Kwanini waliingizwa mambo ya chama kwenye mambo binafsi???

ishu ni moja, hujui marehm na magige makubaliano yao wakiwa wawili, hivyo hutakiwi kumuhukumu na simply kwakua ni mbunge na alifanya.aliyofanya kwasababu yatittle yake, maana naye ni binadam

cha kuuliza kwann wafunge mageti, na msibani milango ipo wazi kwa kila mtu kujongea..
kufunga mageti ni dalili kuwa walijiandaa mbunge asiende
 
Sawa wewe amini simjui maana ukweli haufurahishi wambea na wapenda drama amini unavyo amini. Kuzula alikuwa anakaa wapi wakati amefariki. Tumetoa mamilioni ya pesa tumechangisha zaidi watu hamsini na familia inatufahamu sisi marafiki wa utotoni namjua toka 1987 wewe endelea na movie yako
Hata ungekua umebeba mimba yake[emoji23][emoji23][emoji23] u are just no body. Eti amefunga ndoa. Ila jf jamani. Mkachangisha mamilion. Usitake niseme maneno mabaya saa hizi. Kwahiyo mkafunga ndoa juu ya ndoa. Katarina akaolewa kama wife namba 2. Haya mulifungia wapi ndoa[emoji23][emoji23] bomani, kanisan ama msikitini? Unamjuaje mwanaume mwenzako kwanza. Na kama ni ke unamjuaje mume wa mtu wewe. Aziza anawakomesha. Ngojea huyo malaya wenu afutwe uanachama kwanza halaf tuendelee na mengine.
 
Hayo ni maisha yake binafsi ambayo chama.hakiruhisiwi kuyaingilia..

kama.kinatka kuchukulia hatua kwa kukiaibisha, wapo kibao kabla yake wanaotakiwa kuchukuliwa hatua lakn chama kimenyuti

vipi kuhusi uporaji na unyang'anyi wa sabaya, mako and co, mbona chama kipo kimya? mbona chama hakijitengi na wao?

mabinti na wanawake ni mama zetu, pengine anahitaji atulie na mmoja, lakn wanadanganywa matokeo yake tunawajaj malaya ama hawajitambui. kumchukulia hatua ni makosa, maana kujitetea kwake ni lazima ataje undani wao, ambayo naona ni privacy.

yapo mambo ya msingi ya chama cha mapinduzi.kujitenga nayo, kama wizi, utekaji, uiwaji, wizi n.k lakn sio mambo binafsi.ya mtu. maana kama ilikuwa ni aibu, basi ni aibu ya magige mwenyewe sio chama..

cc.chenge, sabaya, mako.and co
Kuhusu sabaha naona katiwa mbaroni huko tayari. Hilo halimpi katarina ubalali wowote wa alilolifanya. Yeye ni malaya kama malaya wengine tu. Kwahiyo kwa hilo we kausha tu.
 
ishu ni moja, hujui marehm na magige makubaliano yao wakiwa wawili, hivyo hutakiwi kumuhukumu na simply kwakua ni mbunge na alifanya.aliyofanya kwasababu yatittle yake, maana naye ni binadam

cha kuuliza kwann wafunge mageti, na msibani milango ipo wazi kwa kila mtu kujongea..
kufunga mageti ni dalili kuwa walijiandaa mbunge asiende
Mkuu, msiba siyo ishu ya public. Ni ishu ya kifamilia. Hebu amka usingizini. Hata wangeamua kumzika babu, bibj, mama na wajukuu. Huna haki ya kuhoji. Kama nani. Wao ndo wenye maamuzi na mtu wao. Sijui kwann hamtaki hata kusoma soma viti. Si lazima uwe wakili ndo ujie haya. Ni haki zako za msingi. Na ana bahati aziza mstaarabu sana. Ningemnyanyua na header. Sema afya yake sasa huyo katatina ndo tatizo[emoji23]
 
Tumeshatangaziwa kwamba CCM itakuita na kukuhoji kwa nini umevamia msiba.

Usijihangaishe na majibu marefu wakikuletea barua ya kujieleza.

Jibu ni fupi sana.

Wajibu kwamba tangu umezaliwa hujawahi kuvamia msiba usiokuhusu.

Sasa kama wao wanaujua msiba usiokuhusu na ukauvamia wakitajie na walete ushahidi.

Kesi itaishia hapo

CORRECTIONS:
Headline iwe Catherine Magige na siyo Catherine Ruge.

Contents zingine zinabaki hivyohivyo.

 
Ila ndg wa mume nao wabaya sana! ukiona Mchepuko una nguvu na jeuri basi ujuwe ndg wa Mume nao wanamtambuwa Kama mke wa ndg yao!!
Jeuri ya Catherine Magige ilikuwa kwenye pesa na dola(chama tawala), ila hakuna ndugu wa mume anayeweza kufurahia uhuni wa Magige, maana itazaa aibu kwa familia.

Hivi unajua huyo marehemu amezikwa kikristo?
Hivi unajua kama Catherine Magige angetambulika kama mke wa pili wa marehemu kanisa lisinge husika katika mazishi yake?
Hivi unajua marehemu ameacha watoto na mali walizochuma na mke halali, sasa unajua athari gani zitaweza kutokea katika mirathi ikiwa Catherine Magige ataingizwa kwenye hii familia sasa?
 
ishu ni moja, hujui marehm na magige makubaliano yao wakiwa wawili, hivyo hutakiwi kumuhukumu na simply kwakua ni mbunge na alifanya.aliyofanya kwasababu yatittle yake, maana naye ni binadam

cha kuuliza kwann wafunge mageti, na msibani milango ipo wazi kwa kila mtu kujongea..
kufunga mageti ni dalili kuwa walijiandaa mbunge asiende
Kwani hujawahi kuskia familia ikitka privacy wakati wa maziko??
 
Mkuu, msiba siyo ishu ya public. Ni ishu ya kifamilia. Hebu amka usingizini. Hata wangeamua kumzika babu, bibj, mama na wajukuu. Huna haki ya kuhoji. Kama nani. Wao ndo wenye maamuzi na mtu wao. Sijui kwann hamtaki hata kusoma soma viti. Si lazima uwe wakili ndo ujie haya. Ni haki zako za msingi. Na ana bahati aziza mstaarabu sana. Ningemnyanyua na header. Sema afya yake sasa huyo katatina ndo tatizo[emoji23]
Nawashangaa Sana, wanaforce mdiba ni haki, unaforce vipi kujihusisha kwenye mambo ya familia za watu?? Mdiba ni jambo la kifamilia. Hawana hoja kabisa
 
Tumeshatangaziwa kwamba CCM itakuita na kukuhoji kwa nini umevamia msiba.

Usijihangaishe na majibu marefu wakikuletea barua ya kujieleza.

Jibu ni fupi sana.

Wajibu kwamba tangu umezaliwa hujawahi kuvamia msiba usiokuhusu.

Sasa kama wao wanaujua msiba usiokuhusu na ukauvamia wakitajie na walete ushahidi.

Kesi itaishia hapo

Naona umepiga cha Njombe ndiyo ukainga JF
 
Amekwisha likoroga vya kutosha; kama ana akili hatafuata ushauri wako wa kidangaji!!! Mbunge ni lazima awe kioo kwa jamii, hivyo kujitoa ufahamu na kufanya mambo ya kukiaibisha chama kilichompa dhamana ya kukiwakilisha bungeni haikubaliki kimaadili!!!
 
Serikali nijuavyo ina ukubali "mfumo zinaa" maana mahawara wakikiwa pamoja miezi kadhaa (sina uhakika )wanaheesabika ni wake wa ndoa Kiserikali.

Kama ndio hivyo, kwanini na yeye si mke Kiserikali? CCM si ndio yenye dhamana ya kuendesha serikali, sasa mnapatwa mchechetu wa nini akinsa Shaka?


Kubalini tu matokeo au ufuteni mfumo zinaa uliopo nchini.
 
ishu ni moja, hujui marehm na magige makubaliano yao wakiwa wawili, hivyo hutakiwi kumuhukumu na simply kwakua ni mbunge na alifanya.aliyofanya kwasababu yatittle yake, maana naye ni binadam

cha kuuliza kwann wafunge mageti, na msibani milango ipo wazi kwa kila mtu kujongea..
kufunga mageti ni dalili kuwa walijiandaa mbunge asiende
Kilchompata Catherine kinaweza mpata mwanamke yeyote yule, hata Mimi nilianzisha mahusiano na mwanaume aliniambia Hana mke walishaachana. Na akawa haishi nae. Nikiwa na mimba ya miezi Saba mke alikuja kwangu na vyeti vya ndoa,,, mke ni mkatoliki, mume mkatoliki na Mimi mkatoliki.
Haraka Sana nilivunja hayo mahusiano simply because
1. nilijua kwa Sheria ya dini yetu ni ngumu Mimi KUISHI kwa amani.
2. Nilifikiria mistakabal wa watoto na familia ya yule baba.
3. Niliona ujinga Mimi KUISHI na mwanaume ambae ndoa yake Bado haijavunjika na mkewe Bado anampenda, na nliwaza mbali hivi akifa ntakua mgeni wa Nani mimi??? Mpaka Leo yule mwanamke tunaheshimiana na anamtambua mwanangu na wanae wananiheshimu na nilimpata mwanaume wangu ambae sio mume wa MTU na maisha yanasonga.

Sasa najiuliza kama Mimi raiya wa kawaida niliweza kufanya hivi, mbunge kwanini alishindwa kujitambua??? Na mbaya zaidi yeye ni mbunge wa Wanawake,,, yeye analo JUKUMU la KUTETEA WANAWAKE na maslahi yao,,, sasa amefanya nini??? Na sio kwamba hajijui, Kuna video inasambaa anaomba Mungu ili awe official Mrs madodo, anakua kabisa yeye sio official wife, why alete taharuki misibani??
Kibaya zaidi kinachonikera Mimi ni wale viongozi wa Wanawake wakiongozwa na mwenyekiti walishindwa kutumia busara na hekima na kufanya mambo kistaarabu?? Je waliwawaza wale watoto wadogo wa marehemu pale msibani??? JASMIN BACHU TOKA HADHARAN UTUTAKE RADHI WANAWAKE WA ARUSHA.
Vipi KUHUSU ile ibada??? Kwa nini hawakuheshimu?? Na mbunge kama anampenda marehemu na alitaka azikwe kwa heshima anafahami SHERIA za kanisa katoliki?? Hawaziki MTU MWENYE mitala, YAni they are very strict kwenye hili, sasa anajuaje waliogopa kumshirikisha Ili marehem azikwe kwa heshima???
Kamwe usiskilize blabla za mwanaume eti oo nimeachana na mke wangu kisa malaya na WEWE unashkilia Hicho unajiaminisha kwamba HUYU wangu.
CATHERINE NI MBUNGE MTUNGA SHERIA, WAKATI MWINGINE ANAWAJIBIKA KUSIMAMIA SHERIA. KUISHI NA MUME WA MTU TENA MWENYE NDOA YA KIKATOLIKI AMBAYO HAIVUNJIKA HAKUKUFANYI UWE MKE KAMILI NA UWE NA HAKI YA KUMZIKA MUME AKIFA.
 
Back
Top Bottom