Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miongoni mwa mambo yaliofanyika katika kuleta demokrasia njema. So hapo ni kama picha yaliofanyika na Rais SamiaLabda hii ni katika kumuweka mwamba kwenye ramani?
View attachment 3204678
Kwamba mdahalo kala kona.
Hali ya uwanja haitamaniki.
Kwamba kipi kifanyike?
"Ama kweli rafiki wa kweli ni rafiki kwenye dhiki!"
Miongoni mwa mambo yaliofanyika katika kuleta demokrasia njema. So hapo ni kama picha yaliofanyika na Rais Samia
Sema hiyo ni picha ya Samsoni alipodanganywa na delilaMiongoni mwa mambo yaliofanyika katika kuleta demokrasia njema. So hapo ni kama picha yaliofanyika na Rais Samia
Anguko la Samsoni kwa DelilaLabda hii ni katika kumuweka mwamba kwenye ramani?
View attachment 3204678
Kwamba mdahalo kala kona.
Hali ya uwanja haitamaniki.
Kwamba kipi kifanyike?
"Ama kweli rafiki wa kweli ni rafiki kwenye dhiki!"
Kabisa mitano yake ipo tuKwamba wangependa mno mwamba apewe mitano mingine siyo?
Ni kwa kuwa Mwamba ndiye mtu wao ndani ya ChademaCCM kumnadi Mbowe Dodoma kiaina, kuna nini nyuma ya pazia?
Hii ndio inazidi kutuaminisha kuwa mjomba anazunguka wenzakeLabda hii ni katika kumuweka mwamba kwenye ramani?
View attachment 3204678
Kwamba mdahalo kala kona.
Hali ya uwanja haitamaniki.
Kwamba kipi kifanyike?
"Ama kweli rafiki wa kweli ni rafiki kwenye dhiki!"
Tangu lini CCM wakampenda mpinzani kiasi hicho wakaweka picha yake bango loteee hivyo. CCM wajanja sana yani wanachochea ili watu wazidi kuparuanaKwangu mimi sina shida sana na PICHA kwa kuwa ni kweli alifika IKULU kuonana na Mh Rais..suala ni atueleze ni nini hicho/hivyo ambavyo atafanya miaka hii mitano(5) ambayo hakuvifanya kwenye miaka 21 iliyopita
Mwenyekiti kivuli wa CCM huyoLabda hii ni katika kumuweka mwamba kwenye ramani?
View attachment 3204678
Kwamba mdahalo kala kona.
Hali ya uwanja haitamaniki.
Kwamba kipi kifanyike?
"Ama kweli rafiki wa kweli ni rafiki kwenye dhiki!"
Na kwamba kabla bango halijaandikwa walitafakari juu ya waliotekwa na hawajulikani waliko?Labda hii ni katika kumuweka mwamba kwenye ramani?
View attachment 3204678
Kwamba mdahalo kala kona.
Hali ya uwanja haitamaniki.
Kwamba kipi kifanyike?
"Ama kweli rafiki wa kweli ni rafiki kwenye dhiki!"
Simple..Jiulize tu Lisu hakuwa na mpango wa kugombea uenyekiti imekuwaje ghafla kabadilika?
Uongo na uzushi huu.Msisahau Lema ni kijana wa mzee wa msoga. Shida yote hii ni mama hatakiwi
Na kwamba kabla bango halijaandikwa walitafakari juu ya waliotekwa na hawajulikani waliko?
Green party wanayemtaka ni Mbowe he is simple to compromise compared to Lissu.