CCM kumnadi Mbowe Dodoma kiaina, kuna nini nyuma ya pazia?

CCM kumnadi Mbowe Dodoma kiaina, kuna nini nyuma ya pazia?

Labda hii ni katika kumuweka mwamba kwenye ramani?

View attachment 3204678

Kwamba mdahalo kala kona.

Hali ya uwanja haitamaniki.

Kwamba kipi kifanyike?

"Ama kweli rafiki wa kweli ni rafiki kwenye dhiki!"
Ndio maana wamemleta Wassira awe makamu... apambane na wenje kama wenje akishinda. CDM itapooza sana , sinui kama wenje atamumudu wasira kwenye jukwaa. Ni Tundu pekee atamumudu maana tayari alisha mshinda kwenye kesi ya Bulaya...
 
Back
Top Bottom