JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
- Thread starter
- #21
Duh. Hii comment ni ya kibabe kabisa.Kwa aibu mlililo litia Taifa letu,hata zile nguo zenu,zinatupa kinyaa wengine,tena yafaa mumshukuru mwenyekiti wenu mpya kwani anawabeba kwa sifa yake,ya kupenda haki na uelekeo wa kurejesha democrasia,ila hata msivae hiyo minguo yenu bado,Hadi aibu muliyojijengea iweze kufutwa kabisa.