CCM kurudi enzi za kuficha share zao hadi wafike kwenye ukumbi?

Duh. Hii comment ni ya kibabe kabisa.
 
Kuna sifa gani kuvaa sara ya CCM kama wewe ni Masikini. Magufuli alifanya watu wauzoeee Umasikini wakati Umasikini ni Adui katika maadui zetu watatu

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Tuliacha kuzomewa kwa sababu ulikuwa ukitukera tunakutekašŸ¤£šŸ’

-Fear is stronger than love
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…