CCM kutawala karne nyingine ijayo

CCM kutawala karne nyingine ijayo

MSHINO

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,069
Reaction score
713
1. Tume ya uchaguzu inachaguliwa au kufutwa kazi na mwenyekeiti wa CCM
2. Msajili wa vyama vya siasa huteuliwa au kufutwa kazi na mwenyekeiti wa CCM
3. Rais ambaye ni mwenyekeiti wa CCM ndiye anatafuta pesa za uchaguzi
4. Jaji mkuu anateuliwa na kufukuzwa kazi na mwenyekeiti wa CCM
5. Mkuu wa majeshi anateuliwa na kufutwa kazi mwenyekeiti wa CCM
6. Wakuu wengine wa vyombo vya ulinzi na usalama huteuliwa na kufutwa kazi mwenyekeiti wa CCM
7. Baraza la mawaziri huteuliuiwa au kuvunjwa na mwenyekeiti wa CCM
8. Wabunge wa CCM hupitishwa na mwenyekeiti wa CCM kugombea ubunge
9. Jina la spika kugombea uspika hupendekezwa na mwenyekeiti wa CCM na kupigiwa kura na wanachama waliopitishwa na CCM. Wakipingana na mwenyekiti mwenyekiti wa CCM anaweza kulivunja bunge tukaanza upya.
10. Wakuu wa wilaya,wakurugenzi, wakuu wa mikoa, RAS huteuliwa na mwenyekiti wa CCM.
11. Mchakato wa katiba mpya mpaka uitishwe na mwenyekiti wa CCM.

Kwa mtazamo wangu kuitoa CCM madarakani haiwezekani
😉 NGUME KUMEZA

SURUHISHO: Tuchape kazi tu kwani haina tofauti na aliehukumiwa kifungo cha maisha, either asuburi msamaha wa Rais au mpaka afe.
 
Wanafutwa kazi kwa kofta ya 'mwenyekiti wa ccm' au 'rais' a.k.a amiri jeshi mkuu?!! Tuweke vizuri kwanza tulio vilaza
 
Wanafutwa kazi kwa kofta ya 'mwenyekiti wa ccm' au 'rais' a.k.a amiri jeshi mkuu?!! Tuweke vizuri kwanza tulio vilaza
Anabadiri kofia lkn mtu ni yule yule hakuna check and balance
 
1. Tume ya uchaguzu inachaguliwa au kufutwa kazi na mwenyekeiti wa CCM
2. Msajili wa vyama vya siasa huteuliwa au kufutwa kazi na mwenyekeiti wa CCM
3. Rais ambaye ni mwenyekeiti wa CCM ndiye anatafuta pesa za uchaguzi
4. Jaji mkuu anateuliwa na kufukuzwa kazi na mwenyekeiti wa CCM
5. Mkuu wa majeshi anateuliwa na kufutwa kazi mwenyekeiti wa CCM
6. Wakuu wengine wa vyombo vya ulinzi na usalama huteuliwa na kufutwa kazi mwenyekeiti wa CCM
7. Baraza la mawaziri huteuliuiwa au kuvunjwa na mwenyekeiti wa CCM
8. Wabunge wa CCM hupitishwa na mwenyekeiti wa CCM kugombea ubunge
9. Jina la spika kugombea uspika hupendekezwa na mwenyekeiti wa CCM na kupigiwa kura na wanachama waliopitishwa na CCM. Wakipingana na mwenyekiti mwenyekiti wa CCM anaweza kulivunja bunge tukaanza upya.
10. Wakuu wa wilaya,wakurugenzi, wakuu wa mikoa, RAS huteuliwa na mwenyekiti wa CCM.
11. Mchakato wa katiba mpya mpaka uitishwe na mwenyekiti wa CCM.

Kwa mtazamo wangu kuitoa CCM madarakani haiwezekani
😉 NGUME KUMEZA
Siyo lazima kuondoka kwake iwepo nguvu toka nje yake, itajisambaratisha yenyewe sababu ya kugombea madaraka na maslahi
 
Put in sawa lkn siyo Marekani.
 
Huoni kama Nchi hii itaingizwa kwenye machafuko kama yale ya Tigrai.
Machafuko yatatoka wapi wakati dola ipo chini ya Chama tawala, ukifanya fyoo ndani miaka kadhaa, kwani kesi zipo nyingi.
 
Ukumbuke kuwa kazi kubwa ya Rais ni kulinda amani ya nchi.
Sio kazi ya Raisi,ni jukumu la kila Mwananchi Wanajeshi na Polisi hawazidi laki tatu wakati kuna mamilioni ya Wananchi.

Ila ogopa sana Mwananchi aliyekata tamaa.
 
Back
Top Bottom