Tetesi: CCM kuwapiga marufuku maDC na wakurugenzi kugombea ubunge

Martin George

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,695
Reaction score
1,470
Inadaiwa kuwa ukiwa mkuu wa wilaya, mkurugenzi, Das au mbunge kazi yako ni kuwahudumia wananchi. Kwa maana hiyo CCM haioni sababu ya mtu kuacha kuwatumikia wananchi kama DC ili ukawatumikie kama mbunge. Hivyo ubunge safari hii ni kwa wale wasiokuwa watumishi wa umma au wanasiasa walioteuliwa katika nyadhifa zinazowapa fursa ya kuwatumikia wananchi directly. Ahsante!
 
Wanamgeuka yule maza wa kilimanjaro na kaka jambazi wa dar
 
Na aliye kuteua akitengua cheo chako inakuwaje wakati uchaguzi umesha pita?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…