Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauhakika?Maza wa Kilimanjaro ya CCM hayamuhusu!
hapati ng'o!Gambo anagombea Arusha mjini maana Ilala Zungu hamwichi salama..
Ndio, kwani yeye CCM?!!!Unauhakika?
KabisaCCM hawaaminiki, kesho utasikia tofauti na ulivyosikia leo
Kwa Hisani Ya Watu Wa Mbeya!
Inadaiwa kuwa ukiwa mkuu wa wilaya, mkurugenzi, Das au mbunge kazi yako ni kuwahudumia wananchi. Kwa maana hiyo CCM haioni sababu ya mtu kuacha kuwatumikia wananchi kama DC ili ukawatumikie kama mbunge. Hivyo ubunge safari hii ni kwa wale wasiokuwa watumishi wa umma au wanasiasa walioteuliwa katika nyadhifa zinazowapa fursa ya kuwatumikia wananchi directly. Ahsante!
HAWA KAZI YAO ITAKUWA MOJA TU NI KUHAKIKISHA CCM INASHINDA HATA KWA GOLI LA MKONO.Inadaiwa kuwa ukiwa mkuu wa wilaya, mkurugenzi, Das au mbunge kazi yako ni kuwahudumia wananchi. Kwa maana hiyo CCM haioni sababu ya mtu kuacha kuwatumikia wananchi kama DC ili ukawatumikie kama mbunge. Hivyo ubunge safari hii ni kwa wale wasiokuwa watumishi wa umma au wanasiasa walioteuliwa katika nyadhifa zinazowapa fursa ya kuwatumikia wananchi directly. Ahsante!
Hahahaaaaa..,...umenikumbusha Nape Nauye!HAWA KAZI YAO ITAKUWA MOJA TU NI KUHAKIKISHA CCM INASHINDA HATA KWA GOLI LA MKONO.
Hahahaaaaa..,...umenikumbusha Nape Nauye!HAWA KAZI YAO ITAKUWA MOJA TU NI KUHAKIKISHA CCM INASHINDA HATA KWA GOLI LA MKONO.