Japhet Karibu
Member
- Feb 27, 2020
- 79
- 129
Kiukweli watia nia ni wengi sana kupitia Chama cha Mapinduzi hivyo mnatakiwa kuwa makini sana kwenye kuwapitisha wagombea wenu kukiwakilisha chama, la sivyo mkichaguana kwa upendeleo na huku mkifurahia kwa watia nia walio wengi kupitia chama chenu na ni hao hao watawahama na kwenda kutia nia katika vyama vingine hivyo viongozi wakuu muwe makini katika hili lasivyo mtakwenda kutawanyika kwa kiasi kikubwa.