Ni jambo la kusikitisha kwa CCM na Dola kushindwa kumshauri Mwenyekiti kuzunguka nchi nzima eti kumsema au kumzodoa Mbowe kuwa anaongoza kidkteta Chadema. Nadhani hii ni kukosa Agenda au kututoa kwenye agenda sahihi zenye mashiko tunazotaka kusikia kama Taifa.
Tunachotaka kusikia ni namna gani raslimali za nchi zitalindwa na kutumika kwa manufaa ya watu wote, kupiga vita rushwa kwenye taasisi zetu zinazotoa huduma, ufujaji wa bajeti na fedha, deni la taifa, maisha magumu na elimu bora.
Siyo kutuambia nini kilichokutoa Chadema kiitikadi. tutajuaje kama uyasemayo ni ya kweli Msigwa wasikufanye ccm wewe ni kinyago.
Tunaomba agenda za kitaifa lakini siyo kutembeza sura za akina Msigwa na Upendo Peneza.
Tunachotaka kusikia ni namna gani raslimali za nchi zitalindwa na kutumika kwa manufaa ya watu wote, kupiga vita rushwa kwenye taasisi zetu zinazotoa huduma, ufujaji wa bajeti na fedha, deni la taifa, maisha magumu na elimu bora.
Siyo kutuambia nini kilichokutoa Chadema kiitikadi. tutajuaje kama uyasemayo ni ya kweli Msigwa wasikufanye ccm wewe ni kinyago.
Tunaomba agenda za kitaifa lakini siyo kutembeza sura za akina Msigwa na Upendo Peneza.