CCM kwa sasa ina machaguo mawili tu. Kumtosa Rais Samia na wenzie waliotufikisha hapa ianze upya au kuikosa Ikulu 2025

Naaani wa kumtosa? Naaani wa kuthubutu kumgusa mwenyekiti? Hajazaliwa bado!! [emoji116][emoji116][emoji116] Ishi humo!!
Dr.Kigwangwala yuko SAHIHI....

Sahihi kabisa.....

CCM ni chama cha kipekee....hatuigi siasa sisi..... demokrasia haina tafsiri moja....

Mwenyekiti wetu HAHOJIKI kwa njia ya kumkosoa....nipige mawe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Exquisite [emoji2956][emoji7][emoji106][emoji123]
 
RIP bandari 😭
 
Ndo mnavyojidanganya sio? Mtasubiri sana

Samia hadi 2030 kwa Jina la Yesu
Acha kutamka jina la Yesu ktk vitu vya hovyo.
Unaweza tumia jina la bar yesu. Mungu wa kweli hana urafiki na majizi haya mafisadi na matapeli yanayoweza kuuza nchi na utu wao kwa vipande vya fedha.
 
Acha kutamka jina la Yesu ktk vitu vya hovyo.
Unaweza tumia jina la bar yesu. Mungu wa kweli hana urafiki na majizi haya mafisadi na matapeli yanayoweza kuuza nchi na utu wao kwa vipande vya fedha.
Nani mwizi na fisadi?
 
Sisi wanaccm kindakindaki na tunaokijua chama, aiseee tukisoma wishes za wapiga ramli huwa tunacheka Sana. Take it from me, Samia is only and one atayechukua fomu kuomba ridhaa ya kuongoza nchi ngwe ya pili, na hakuna wa kumshinda dk Samia na ndiye Rais mpaka 2030 kila mwanaccm anayekijua chama analifahamu hili.
 
Wa kwangu ulikuwa ushauri tu,ili msiishie kwenye dustbin.Wengi walikuja na kupita,na CCM no doubt itapitaa.
 
Samia ndie Rais wangu kwa muhula mwingine wa 2025-2030 hii hata kama ni usiku na mchana nitapiga kampeni
 
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu atakayetoa kura yake kwa Chama kilichotufikisha hapa tulipo yaani ni wizi kila mahali.
 
Ni andiko refu lenye mambo mengi ya kipuuuzi.
Usinichokoze nikaja hapa kupoteza muda mwingi kukunyoosha akili ilipopindika.

Ninachokubaliana na wewe ni hilo moja tu la CCM kuwa mbovu; lakini hata huna uwezo wa kujua ubovu ulianzia wapi. Unazungukazunguka tu kijumlajumla kwa maelezo mepesi na potofu kabisa kila mahala.
 
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu atakayetoa kura yake kwa Chama kilichotufikisha hapa tulipo yaani ni wizi kila mahali.
Bado wapo mkuu,elimu inahitaji sana ili wananchi wajue fika ubaya wa serikali ya CCM,ili come 2025 waweze kusimamia kura zao zisiibiwe.

Tume huru ya uchaguzi pia inahitajika sana,ili kusimamia mfumo mzima wa uchaguzi.Serikali na vyombo vyake vyote havipaswi kuhusishwa kabisa kwenye uchaguzi,huwezi kuwa referee of your own.
 
Naona mkuki umeingia sehemu yake,👍.
 
Naona mkuki umeingia sehemu yake,👍.
Nadhani unatafuta nikutafutie muda mzuri nikuchambue na hilo andiko lako hafifu vizuri.
Nipe muda, nitakuja kukusoma vizuri na kukuachia nitakayokuwa nayo juu ya andiko lako hilo bovu.
 
Huku mtaani watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida, hakunna menye anahangaika na bandari sijui, sasa hiyo nchi imechafukia wapi? Labda nyumbani kwako,
 
I agree. Mengine yote ni nyongo tu na hapakuwa na sababu za msingi kugusia maeneo mengine kufikisha ujumbe wake.
Short and sweet; CCM ijisuke vizuri au wakose Uraisi na hata Ubunge(majority) 2025. Kwa hilo nampa kongole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…