Tetesi: CCM kwachafuka, sasa wachunguzana, hakuna kuaminiana

Wacha wauwane na bado kutiliana sumu tu maana wametufikisha kwenye maisha ya dhiki
 
Ccm chama kikubwa sio cha msimu kama kile cha ufipa kwa hivo huo ni uzushi
 
Tupatie na yale yaliyojadiliwa kwenye kikao cha bavicha Regency mikocheni, ambapo Lowasa alikuwepo.
Ukitaka hayo fungulia uzi wake hapa tunaongelea kinachotokea ndani ya ccm
 
Kama kupasuka CCM ingepasuka July 12 2015. Jengeni Vyama vyenu mkisubiri CCM ipasuke ndio mkamate Dola ni sawa na kusubiri Boti ya Znz Ubungo bus terminal
Sema mv dsm
 
Hizi ngonjera sisizo NA mbele wala nyuma hazitasaidia kuokoa Upinzani. Hoja zimefilisika sasa Ni kupika majungu tu... Mtasubiri sana....
Ccm sasa wanapakana matope na kufitiana kila kukicha
 
Hizi ngonjera sisizo NA mbele wala nyuma hazitasaidia kuokoa Upinzani. Hoja zimefilisika sasa Ni kupika majungu tu... Mtasubiri sana....
Ccm sasa wanapakana matope na kufitiana kila kukicha
 
Sometimes ni vema kukaa kimya kuliko kuandika vitu hata havieleweki ...

Mtu anatumia muda wake kusoma vitu hata havieleweki.
Subiri usome utumbo wa Lizaboni utafarijika
 
We kweli JUHA
 
Naona kabla ya Ijumaa, macho yangunyataniuma kwa kusoma habaru za CCM

Raisi aongoze chama tuje wengine tufurahie habari za kutumbuliwa watu humo...
 
Nimekuuliza wewe sijaulizia uzi...kama huna majibu ya mambo yanayokuhusu hata wewe mwenyewe, jifunze kuacha kujijhusisha na mambo ya wengine..
Nami nimekwambia kuwa ukitaka mambo ya mkutano wa cdm fungulia uzi wake hapa tunajadili namna gani ccm inaenda kujifia kifo cha mende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…