CCM kwanini mmeiharamisha pombe aina ya Gongo?

CCM kwanini mmeiharamisha pombe aina ya Gongo?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Mpaka Sasa sielewi ni kwanini CCM mpaka Sasa inaendelea kuiharamisha pombe aina ya gongo!!

Hivi CCM haiwezi kuifuta hii sheria kandamizi Ili watanzania maskini wapika pombe aina ya gongo waweze kujikwamua kiuchumi?

Hivi CCM wanaweza kutuambia uharamu wa pombe ya gongo unatokana na kitu gani hasa?

Je, uharamu wa gongo unatokana na vinavyotumika kuitengeneza hiyo pombe?

Au uharamu wa pombe upo kwenye jinsi inavyofungashwa na kuhifadhiwa?

Labda CCM mtuambie ni kwa nini mnasema gongo ni pombe haramu?
 
Wataziuza kwa viwanda vya spirits ili zifanyiwe Re distillation na kupata spirits nyingi zaidi kwa soko!

Hawatoiuza kiholela kwa watumiaji !
 
Kama serikali haipati kodi kutokana na biashara fulani ni lazima wataipa jina HARAMU kwani hiyo biashara inakuwa haina maslahi upande wa serikali.

Konyagi au K Vant ni gongo zilizohalalishwa.
 
Kama serikali haipati kodi kutokana na biashara fulani ni lazima wataipa jina HARAMU kwani hiyo biashara inakuwa haina maslahi upande wa serikali.

Konyagi au K Vant ni gongo zilizohalalishwa.
Sawa
 
Japokuwa mimi si mshabidi wa pombe na zote naziona ni haramu,,namuunga mkono mleta mada,kwamba inazuiwa gongo ya wenyeji asilia,inaruhusiwa ya wageni eti kwakuwa imepimwa na ina package nzuri,,lkn pamoja na hayo madhara yake bado ni yaleyale kwa watu,sasa serikali imekwepa nini hapo,uganda wanautaratibu wakizinunua hizo pombe za wenyeji,waragi (gongo),na walau kuziweka katika standards,huku wananchi pia wananufaika kiuchumi.
 
Gongo kule Bukoba huwa inaitwa KONYAGI na ile kali huitwa SUPER.

Hii inaua hasa ukiwa unatumia kila siku.

Zipo pombe za kienyeji ambazo hazina madhara ya kiafya makubwa Kama Mbege -Rubisi -kimpumu. n.k.
 
Mpaka Sasa sielewi ni kwanini CCM mpaka Sasa inaendelea kuiharamisha pombe aina ya gongo!!

Hivi CCM haiwezi kuifuta hii sheria kandamizi Ili watanzania maskini wapika pombe aina ya gongo waweze kujikwamua kiuchumi?

Hivi CCM wanaweza kutuambia uharamu wa pombe ya gongo unatokana na kitu gani hasa?

Je, uharamu wa gongo unatokana na vinavyotumika kuitengeneza hiyo pombe?

Au uharamu wa pombe upo kwenye jinsi inavyofungashwa na kuhifadhiwa?

Labda CCM mtuambie ni kwa nini mnasema gongo ni pombe haramu?
Subirini CHADEMA mkiingia madarakani mtafanya huu upumbavu unaouwaza.
 
Back
Top Bottom