CCM kwanini mmeiharamisha pombe aina ya Gongo?

CCM kwanini mmeiharamisha pombe aina ya Gongo?

Komoni imepimwa?
Nayo haijapimwa lakini athari zake si kubwa kufananisha na gongo.

Mtu wa kawaida anaweza kunywa komoni lita1 na asilewe - Less alcohol.

Mtu wa kawaida akinywa gongo kikombe ki1 analewa chakari vibaya mno - High alcohol.

Infact, Spirit yeyote ndiyo pombe kali zaidi duniani ukirelate na Wine and Beer.
 
Nayo haijapimwa lakini athari zake si kubwa kufananisha na gongo.

Mtu wa kawaida anaweza kunywa komoni lita1 na asilewe - Less alcohol.

Mtu wa kawaida akinywa gongo kikombe ki1 analewa chakari vibaya mno - High alcohol.

Infact, Spirit yeyote ndiyo pombe kali zaidi duniani ukirelate na Wine and Beer.
Kwa hiyo madhara yanapimwa kwa ujazo unaolewesha?
 
Inachukua miaka mingapi kupima kiwango cha alcohol? Maana gongo ni kongwe kuliko K-Vant, Konyagi, Smart Gin n.k,?

Au tunadharau vya kwetu ??
Hapana hatudharau, Njia za kuibalance pombe ili iwe katika viwango sahihi na vifaa vya kuipima kama inafaa au haifai ni gharama mno, wauza gongo hawawezi kumudu.

Ukizingatia gongo ni pombe kali mno tofauti na Komoni au Ulanzi, Madhara yake tunajionea wazi - mfano Iringa wanywa gongo hufungwa suruali chini ili hajakubwa ikitoka isianguke chini.

Je, unadhani utumiaji gongo sio kitu hatari?
 
Hivi ulisha wahi kuona waraibu wa gongo za kienyeji kweli au unaongea kuchangamsha genge?
Kuruhusu gongo ni mara mia wakaruhusu bangi.
 
Kama serikali haipati kodi kutokana na biashara fulani ni lazima wataipa jina HARAMU kwani hiyo biashara inakuwa haina maslahi upande wa serikali.

Konyagi au K Vant ni gongo zilizohalalishwa.
Basi hata nyanya, Vitunguu, n.k (vyote ambavyo Serikali haipati Kodi) vipewe jina HARAMU ili vipigwe marufuku kwa havina maslahi kwa upande WA Serikali.
 
Wengi nilio wauliuliza uharamu wa gongo hata policeccm bado hawakuwa na majibu yakuelewaeka . wao walidai serkali imepiga marufuku wengine waksema serkali haipati kodi hivyo ikiruhusu gongo basi k vant konyagi nk zitakuswa soko.

Mmoja alijitutmua aksema haina kiwango rasmi cha alcohl na akaongezea kuwa huwa kuna sumu fulani isipoondolewa kitaalumu inakuwa hatari kwa kwa afya. Nikamuuliza huo uhatari wa afya upo kwenye gongo tu kwenye roboti,samson,shimha hamna sio? akajiumauma ni kamuuliza tena hiyo process ya kupima kiwango cha alcoh inachukua muda zaidi hadi leo hii hamjawahi anza kupima? akasema haya mambo yapo kitaalamu zaidi. nikaona hapa nasumbuka tu hakuna majibu.
 
Gongo kule Bukoba huwa inaitwa KONYAGI na ile kali huitwa SUPER.

Hii inaua hasa ukiwa unatumia kila siku.

Zipo pombe za kienyeji ambazo hazina madhara ya kiafya makubwa Kama Mbege -Rubisi -kimpumu. n.k.
Kama pombe za kienyeji ulizozitaja hazina madhara, je hao wanywaji, sijui walevi wa hizo pombe, hayo mashavu na vitumbo vyao kujaa kama vitambi hiyo ni afya?

Ukisikia: 'pombe ya kienyeji' maana yake pombe isiyo na vipimo vya ubora pamoja na utambuzi wa percentage yake ya alcohol, bila kujali ni gongo, kimpumu, kangara ama rubisi.

Mantiki ya mtoa mada ni kuitaka Serikali 'ihalalishe' pombe za kienyeji.

Kuhalalisha ni Serikali kuweka mkono wake wa kitaalamu ili pombe zote za kienyeji ziwekewe utaratibu mzuri wa kufuata kisheria za ubora wa viwango, ili zitumiwapo na wananchi zisiwaletee madhara.
 
Kama pombe za kienyeji ulizozitaja hazina madhara, je hao wanywaji, sijui walevi wa hizo pombe, hayo mashavu na vitumbo vyao kujaa kama vitambi hiyo ni afya?

Ukisikia: 'pombe ya kienyeji' maana yake pombe isiyo na vipimo vya ubora pamoja na utambuzi wa percentage yake ya alcohol, bila kujali ni gongo, kimpumu, kangara ama rubisi.

Mantiki ya mtoa mada ni kuitaka Serikali 'ihalalishe' pombe za kienyeji.

Kuhalalisha ni Serikali kuweka mkono wake wa kitaalamu ili pombe zote za kienyeji ziwekewe utaratibu mzuri wa kufuata kisheria za ubora wa viwango, ili zitumiwapo na wananchi zisiwaletee madhara.
Good✊🏿 but always too much of anything is harmful.

Hata Bia ambazo zinatoka viwandani ukizidisha Sana zinakuharibu .

Kama ilivyo Mbege na rubisi.


Serikali kuweka mkono wake ni muhimu Ila muhimu zaidi watumiaji wa hizo pombe wajue hakuna kitu hakina madhara hasi endapo kikitumiwa vibaya
 
Mpaka Sasa sielewi ni kwanini CCM mpaka Sasa inaendelea kuiharamisha pombe aina ya gongo!!

Hivi CCM haiwezi kuifuta hii sheria kandamizi Ili watanzania maskini wapika pombe aina ya gongo waweze kujikwamua kiuchumi?

Hivi CCM wanaweza kutuambia uharamu wa pombe ya gongo unatokana na kitu gani hasa?

Je, uharamu wa gongo unatokana na vinavyotumika kuitengeneza hiyo pombe?

Au uharamu wa pombe upo kwenye jinsi inavyofungashwa na kuhifadhiwa?

Labda CCM mtuambie ni kwa nini mnasema gongo ni pombe haramu?
Kama kanisa katoliki wamehararisha gongo kunywewa na waumini wake hata katika viunga vya mazingira ya kanisa na inaombewa, CCM ni nani azuie?
 
Hapana hatudharau, Njia za kuibalance pombe ili iwe katika viwango sahihi na vifaa vya kuipima kama inafaa au haifai ni gharama mno, wauza gongo hawawezi kumudu.
Wataalamu wanapaswa kuifanyia tathimini ili wajue nini kimezidi na nn kimepungua kwenye gongo, halafu wawashauri watengenezaji jinsi ya kuviongeza ama kupunguza.

Gongo ikiboreshwa itaongeza psto la taifa. Tafadhali sana wataalamu wetu fanyieni kazi suala hili.
 
Wataalamu wanapaswa kuifanyia tathimini ili wajue nini kimezidi na nn kimepungua kwenye gongo, halafu wawashauri watengenezaji jinsi ya kuviongeza ama kupunguza.

Gongo ikiboreshwa itaongeza psto la taifa. Tafadhali sana wataalamu wetu fanyieni kazi suala hili.
Hii ndiyo hoja yangu. Serikali iache kusimamia sheria zilizotungwa enzi ya mkoloni kugandamiza waafrika Ili pombe zao zisishindane na za kwao.

Sheria ya kuharamisha gongo nimeambiwa ilitungwa enzi za mkoloni miaka ya 1920 huko.
 
Back
Top Bottom