RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Hakika mkuu!!Wataalamu wanapaswa kuifanyia tathimini ili wajue nini kimezidi na nn kimepungua kwenye gongo, halafu wawashauri watengenezaji jinsi ya kuviongeza ama kupunguza.
Gongo ikiboreshwa itaongeza psto la taifa. Tafadhali sana wataalamu wetu fanyieni kazi suala hili.
Tujivunie vya kwetu.Hennesy grants, captain,vodka zote ni gongo za wazungu wacha tu na sisi tukuze gongo yetu
Kabisa. Kuna wasomi nguli Wa kutosha Tanzania ambao mallpo ya ada zao yalitokana na mama zao kuuza gongo.Mapato ya gongo za tz yanaingia moja kwa moja ktk uchumi wa tz
Wauzaji wa gongo wanasomesha,
Kabisa. Na itakuza sana kilimo chetu.wananunua matilio ya kutengenezea gongo hapa hapa tz
Hakuna haja yà kutaka CCM wahalalishe, Chadema mlishahalisha inatosha.Mpaka Sasa sielewi ni kwanini CCM mpaka Sasa inaendelea kuiharamisha pombe aina ya gongo!!
Hivi CCM haiwezi kuifuta hii sheria kandamizi Ili watanzania maskini wapika pombe aina ya gongo waweze kujikwamua kiuchumi?
Hivi CCM wanaweza kutuambia uharamu wa pombe ya gongo unatokana na kitu gani hasa?
Je, uharamu wa gongo unatokana na vinavyotumika kuitengeneza hiyo pombe?
Au uharamu wa pombe upo kwenye jinsi inavyofungashwa na kuhifadhiwa?
Labda CCM mtuambie ni kwa nini mnasema gongo ni pombe haramu?