Uchaguzi 2020 CCM kwanini msiawaachie Beneficiaries watangaze mafanikio? Kwanini nguvu kubwa kuyatangaza?

Uchaguzi 2020 CCM kwanini msiawaachie Beneficiaries watangaze mafanikio? Kwanini nguvu kubwa kuyatangaza?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Nakumbuka wakati nafanya kwenye NGO moja ni International ilikuwa akija Mgeni yaani wafadhiri wa mradi tulikuwa haturuhusiwi sisi staff kuongelea tulicho kifanya bali wale wanufaika ndo pekee waliruhusiwa kueleza kama wananufaika kweli au la na some time walikuwa wanatuumbua vibaya mno.

Sasa CCM hayo maendeleo kama watu wamenufaika watayatangaza, sasa hizi nguvu zote za kuyatangaza ni ili iweje? Beneficiary wako wapi? Mbona hawatangazi?

Ngugu zinazo tumika kutangaza mafanikio zina walakini kwa sababu kama mafanikio watu wamefanikiwa automatic watatangaza.
 
Mleta mada; muhimu kujua kuwa sisi ni watanzania kwanza kabla ya kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa. Hivyo mwanaCCM anapoelezea mazuri yaliyofanyika, asibaguliwa, yeye naye ni mnufaika Kama mtanzania mwingine yeyote yule.
Tunalazimika pia kujitangaza kwani sisi Ni chama cha siasa na tuliahidi kutekeleza. Kama hiyo haitoshi, tunatangaza kwasababu kuna watu wanapotosha ukweli
 
CCM IPO madarakani Kwa nguvu ya Dola bila jeshi kuingilia Kati wangekuwa wameshaondoka kitambo mno.
Ni kama vile mtu mwenye miaka 60( CCM Vs upinzani) kushindana na kijana wa miaka 25, matokeo yake ni haya hiki chama kimechoka ndiyo maana unaona inatumika nguvu kubwa ili waendelee madarakani
 
Nakumbuka wakati nafanya kwenye NGO moja ni International ilikuwa akija Mgeni yaani wafadhiri wa mradi tulikuwa haturuhusiwi sisi staff kuongelea tulicho kifanya bali wale wanufaika ndo pekee waliruhusiwa kueleza kama wananufaika kweli au la na some time walikuwa wanatuumbua vibaya mno.

Sasa CCM hayo maendeleo kama watu wamenufaika watayatangaza, sasa hizi nguvu zote za kuyatangaza ni ili iweje? Beneficiary wako wapi? Mbona hawatangazi?

Ngugu zinazo tumika kutangaza mafanikio zina walakini kwa sababu kama mafanikio watu wamefanikiwa automatic watatangaza.
Waache watutangazie wao wanaamini tulikuwa tumelala hivyo hatukuona hizo SGR na flyover, zaidi ya hapo wewe hawajakubadilishia maisha, mlo mmoja siku ukiamka vizuri.
 
Mleta mada; muhimu kujua kuwa sisi ni watanzania kwanza kabla ya kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa. Hivyo mwanaCCM anapoelezea mazuri yaliyofanyika, asibaguliwa, yeye naye ni mnufaika Kama mtanzania mwingine yeyote yule.
Tunalazimika pia kujitangaza kwani sisi Ni chama cha siasa na tuliahidi kutekeleza. Kama hiyo haitoshi, tunatangaza kwasababu kuna watu wanapotosha ukweli
Mwanaccm anapoelezea mazuri! Kwa nani? Aende nje ya nchi akawaeleze mimi nipo hapa huku Makete hiyo SGR na flyover hainisaiidii kwenye maisha yangu ya kila siku, labda wewe unakwenda kupanda flyover ili ujiselfie na kupunga upepo.
 
Nakumbuka wakati nafanya kwenye NGO moja ni International ilikuwa akija Mgeni yaani wafadhiri wa mradi tulikuwa haturuhusiwi sisi staff kuongelea tulicho kifanya bali wale wanufaika ndo pekee waliruhusiwa kueleza kama wananufaika kweli au la na some time walikuwa wanatuumbua vibaya mno.

Sasa CCM hayo maendeleo kama watu wamenufaika watayatangaza, sasa hizi nguvu zote za kuyatangaza ni ili iweje? Beneficiary wako wapi? Mbona hawatangazi?

Ngugu zinazo tumika kutangaza mafanikio zina walakini kwa sababu kama mafanikio watu wamefanikiwa automatic watatangaza.
Inaelekea hujui nini maana ya neno SIASA🙂

Siku ukipata nafasi msikilize John Shibuda utaelewa.
 
Mleta mada; muhimu kujua kuwa sisi ni watanzania kwanza kabla ya kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa. Hivyo mwanaCCM anapoelezea mazuri yaliyofanyika, asibaguliwa, yeye naye ni mnufaika Kama mtanzania mwingine yeyote yule.
Tunalazimika pia kujitangaza kwani sisi Ni chama cha siasa na tuliahidi kutekeleza. Kama hiyo haitoshi, tunatangaza kwasababu kuna watu wanapotosha ukweli
Kama kweli umetekeleza na yanaonekana kwa macho ya kawaida kwnn utumie nguvu kuyaelezea?? Acha watu baki ndo wayaelezee ww tulia
 
Nakumbuka wakati nafanya kwenye NGO moja ni International ilikuwa akija Mgeni yaani wafadhiri wa mradi tulikuwa haturuhusiwi sisi staff kuongelea tulicho kifanya bali wale wanufaika ndo pekee waliruhusiwa kueleza kama wananufaika kweli au la na some time walikuwa wanatuumbua vibaya mno.

Sasa CCM hayo maendeleo kama watu wamenufaika watayatangaza, sasa hizi nguvu zote za kuyatangaza ni ili iweje? Beneficiary wako wapi? Mbona hawatangazi?

Ngugu zinazo tumika kutangaza mafanikio zina walakini kwa sababu kama mafanikio watu wamefanikiwa automatic watatangaza.
Politics
 
Nakumbuka wakati nafanya kwenye NGO moja ni International ilikuwa akija Mgeni yaani wafadhiri wa mradi tulikuwa haturuhusiwi sisi staff kuongelea tulicho kifanya bali wale wanufaika ndo pekee waliruhusiwa kueleza kama wananufaika kweli au la na some time walikuwa wanatuumbua vibaya mno.

Sasa CCM hayo maendeleo kama watu wamenufaika watayatangaza, sasa hizi nguvu zote za kuyatangaza ni ili iweje? Beneficiary wako wapi? Mbona hawatangazi?

Ngugu zinazo tumika kutangaza mafanikio zina walakini kwa sababu kama mafanikio watu wamefanikiwa automatic watatangaza.
Beneficiaries ni Mimi na wewe , na Mimi nimeridhika na walichokifanya kwenye infrastructure, ingawa kuna areas ambazo zinahitaji wahusika kuelemishwa kwani kuna mapungufu au approach yao sio sahihi
 
Mwanaccm anapoelezea mazuri! Kwa nani? Aende nje ya nchi akawaeleze mimi nipo hapa huku Makete hiyo SGR na flyover hainisaiidii kwenye maisha yangu ya kila siku, labda wewe unakwenda kupanda flyover ili ujiselfie na kupunga upepo.
Soma "je ni kweli flyovers na ndege hazina msaada wowote kwa watanzania waishio Nanyamba au kiabakari"to?
 
Ndo maana mnatumia nguvu maana hata ninyi hamkiamini mlichokitenda ..mna amini katka matangazo
Elewa basi, nimekuambia kama hutaki niongee na wewe acha kupotosha kuwa hakuna kilichofanyika au kukebehi. Yaani nyie muwaambie watanzania habari za uongo halafu utake tunyamaze, hiyo tumekataa mchana kweupeee
 
Shida ni yanatangazwa kwa nguvu sana, watu kwa nini watu wasiuatangaze in the ground? Wamasai watangaze wamafadika vipi? Wapare watangaze wamefaidika vipi
Mleta mada; muhimu kujua kuwa sisi ni watanzania kwanza kabla ya kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa. Hivyo mwanaCCM anapoelezea mazuri yaliyofanyika, asibaguliwa, yeye naye ni mnufaika Kama mtanzania mwingine yeyote yule.
Tunalazimika pia kujitangaza kwani sisi Ni chama cha siasa na tuliahidi kutekeleza. Kama hiyo haitoshi, tunatangaza kwasababu kuna watu wanapotosha ukweli
 
Basi kamq beneficiaries ndio wayangaze mazuli ya ccm na chadema nao waache beneficiaries watangaze mazuri ya chadema
 
Back
Top Bottom