BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Nakumbuka wakati nafanya kwenye NGO moja ni International ilikuwa akija Mgeni yaani wafadhiri wa mradi tulikuwa haturuhusiwi sisi staff kuongelea tulicho kifanya bali wale wanufaika ndo pekee waliruhusiwa kueleza kama wananufaika kweli au la na some time walikuwa wanatuumbua vibaya mno.
Sasa CCM hayo maendeleo kama watu wamenufaika watayatangaza, sasa hizi nguvu zote za kuyatangaza ni ili iweje? Beneficiary wako wapi? Mbona hawatangazi?
Ngugu zinazo tumika kutangaza mafanikio zina walakini kwa sababu kama mafanikio watu wamefanikiwa automatic watatangaza.
Sasa CCM hayo maendeleo kama watu wamenufaika watayatangaza, sasa hizi nguvu zote za kuyatangaza ni ili iweje? Beneficiary wako wapi? Mbona hawatangazi?
Ngugu zinazo tumika kutangaza mafanikio zina walakini kwa sababu kama mafanikio watu wamefanikiwa automatic watatangaza.