Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huku ikiwa bado Mbeba Maono Tundu Lissu kukanyaga ardhi ya Kyela, tayari CCM imeanza kupukutika yenyewe mithili ya mti wakati wa kiangazi, makovu ya kura za maoni yanaendelea kuitesa baada ya wapambe wa Mwakyembe kujiapiza na kugoma kumnadi wala kumpa kura zao mgombea wa CCM Ally Jumbe ambaye wanadai alikuwa mbeba mafaili wa Mwakyembe aliyesaliti kambi.
Taarifa zinadokeza kwamba mikutano mizito na mikubwa ya Mgombea Ubunge wa CHADEMA Mhe. Alinanuswe Mwalwange na hasa umati uliohudhuria siku ya uzinduzi wa kampeni zake kwenye uwanja wa Tacoshiri kumeisambaratisha zaidi CCM huku wapambe wa Mwakyembe wakichekelea hasa baada ya kampeni za uzinduzi za CCM zilizotangulia kudoda kwenye uwanja wa siasa
Juhudi za Mzee Mangula kuokoa jahazi zimegonga mwamba
Taarifa zinadokeza kwamba mikutano mizito na mikubwa ya Mgombea Ubunge wa CHADEMA Mhe. Alinanuswe Mwalwange na hasa umati uliohudhuria siku ya uzinduzi wa kampeni zake kwenye uwanja wa Tacoshiri kumeisambaratisha zaidi CCM huku wapambe wa Mwakyembe wakichekelea hasa baada ya kampeni za uzinduzi za CCM zilizotangulia kudoda kwenye uwanja wa siasa
Juhudi za Mzee Mangula kuokoa jahazi zimegonga mwamba