Uchaguzi 2020 CCM Mbeya mpasuko waanza mapema kabisa

Uchaguzi 2020 CCM Mbeya mpasuko waanza mapema kabisa

Huyo mama Mbeya kwani anakwenda kuongoza? Yeye anakwenda kama Milango wa kutokea tu ili kupata vyeo vingine kama usipika na uwaziri wa katiba.Hawezi kushinda ila atatangazwa chadema wakilala
Wanajitengenezea njia ya kwenda The Hague. Asidhani CCM itatawala milele. Yeye apate Hayo mavyeo anayoyatami,ila kuna siku yeye na wenzie watalia na kusaga meno wakiwa The Hague.
 
Mbeya Mjini mwacheni Tulia agombee tumfundishe kwamba hatukumiliki Mbeya kwa bahati Mbaya , mtoto akililia wembe mpe
 
Kuna watu wanalizungumzia jimbo na mambo ya Mbeya, utadhani kweli wanafahamu siasa ya Mbeya. Huyo Tulia anayesemwa vibaya Twitter na JF, sio yule anayeonwa vibaya na wana Mbeya. Hao wengine watasubiri saana.
 
Waache CCM wapasuane kisha watuletee mgombea mmoja SUGU aje kumpasua Oct 2020 saa nne asubuhi kabla hata misa ya kwanza haijaisha.
 
Kuna watu wanalizungumzia jimbo na mambo ya Mbeya, utadhani kweli wanafahamu siasa ya Mbeya. Huyo Tulia anayesemwa vibaya Twitter na JF, sio yule anayeonwa vibaya na wana Mbeya. Hao wengine watasubiri saana.
Tulia nguvu yake kubwa ipo nje ya sanduku la kura, kwenye sanduku la kura hatoboi.
 
Back
Top Bottom