CCM mechi ya Taifa Stars na Guinea msilete mambo yenu uwanjani

CCM mechi ya Taifa Stars na Guinea msilete mambo yenu uwanjani

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Wakati uwanja wa Mkapa unazinduliwa, watanzania walijaa uwanjani na kuishangilia timu yao kwa bidii Sana.

Ghafla CCM mkaanza kuyafanya mafanikio ya Taifa stars kuwa ni mafanikio ya chama chenu. Hapo mamilioni ya watanzania timu yao wenyewe ikawatumbukia nyongo.

Sasa jumanne ya tarehe 19/11/2024 ni siku muhimu kwa Taifa Stars. CCM mna gundu na hii timu yetu, kaeni nayo mbali ili tusonge mbele.

Mambo ya kutumbukiza mazingaombwe ya chama chenu kwenye mechi hiyo, HATUTAKI.
 
Wakati uwanja wa Mkapa unazinduliwa, watanzania walijaa uwanjani na kuishangilia timu yao kwa bidii Sana.

Ghafla CCM mkaanza kuyafanya mafanikio ya Taifa stars kuwa ni mafanikio ya chama chenu. Hapo mamilioni ya watanzania timu yao wenyewe ikawatumbukia nyongo.

Sasa jumanne ya tarehe 19/11/2024 ni siku muhimu kwa Taifa Stars. CCM mna gundu na hii timu yetu, kaeni nayo mbali ili tusonge mbele.

Mambo ya kutumbukiza mazingaombwe ya chama chenu kwenye mechi hiyo, HATUTAKI.
Chukueni jukumu hilo Waja Hospital pelekeni usanii na utapeli wenu kenge nyie
 
Wakati uwanja wa Mkapa unazinduliwa, watanzania walijaa uwanjani na kuishangilia timu yao kwa bidii Sana.

Ghafla CCM mkaanza kuyafanya mafanikio ya Taifa stars kuwa ni mafanikio ya chama chenu. Hapo mamilioni ya watanzania timu yao wenyewe ikawatumbukia nyongo.

Sasa jumanne ya tarehe 19/11/2024 ni siku muhimu kwa Taifa Stars. CCM mna gundu na hii timu yetu, kaeni nayo mbali ili tusonge mbele.

Mambo ya kutumbukiza mazingaombwe ya chama chenu kwenye mechi hiyo, HATUTAKI.
bro huu ujumbe umeweka kwa kuchelewa tulionyesha umoja kuisapti timu yetu ya taifa ila kwa ujinga alioongea mwana FA kwamba huo ushindi wa juzi ni kwaajili ya mama, hatukotayari kupoteza muda wetu dua zote kwa Guinea taifa stars wapigwe 4:0
 
Back
Top Bottom