900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
mousa qamara spider hoyeeeGuinea kaza tena sanaaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mousa qamara spider hoyeeeGuinea kaza tena sanaaaa.
Tujiandae kisaikolojia tu. Kwa mpira wa juzi wale jamaa hatutoboi.Wakati uwanja wa Mkapa unazinduliwa, watanzania walijaa uwanjani na kuishangilia timu yao kwa bidii Sana.
Ghafla CCM mkaanza kuyafanya mafanikio ya Taifa stars kuwa ni mafanikio ya chama chenu. Hapo mamilioni ya watanzania timu yao wenyewe ikawatumbukia nyongo.
Sasa jumanne ya tarehe 19/11/2024 ni siku muhimu kwa Taifa Stars. CCM mna gundu na hii timu yetu, kaeni nayo mbali ili tusonge mbele.
Mambo ya kutumbukiza mazingaombwe ya chama chenu kwenye mechi hiyo, HATUTAKI.
Sasa tukifungwa tuseme mama kafungwabro huu ujumbe umeweka kwa kuchelewa tulionyesha umoja kuisapti timu yetu ya taifa ila kwa ujinga alioongea mwana FA kwamba huo ushindi wa juzi ni kwaajili ya mama, hatukotayari kupoteza muda wetu dua zote kwa Guinea taifa stars wapigwe 4:0
Hata Sasa FIFA hawataki huu upuuzi wa siasa kwenye boli. Sema Karia ni pandikizi la CCM pale TFF, hivyo hawezi kukisaliti chama chake.Enzi za Blatter alikuwa hataki huu Upuuzi...
Hiyo lazima babu, si utawaona.Wakati uwanja wa Mkapa unazinduliwa, watanzania walijaa uwanjani na kuishangilia timu yao kwa bidii Sana.
Ghafla CCM mkaanza kuyafanya mafanikio ya Taifa stars kuwa ni mafanikio ya chama chenu. Hapo mamilioni ya watanzania timu yao wenyewe ikawatumbukia nyongo.
Sasa jumanne ya tarehe 19/11/2024 ni siku muhimu kwa Taifa Stars. CCM mna gundu na hii timu yetu, kaeni nayo mbali ili tusonge mbele.
Mambo ya kutumbukiza mazingaombwe ya chama chenu kwenye mechi hiyo, HATUTAKI.
kkkkkkkk....CCM a.k.a ANDAZI wasivyopenda maendeleo ya stars basi watakuja na kimbelembele kwenye hii game mradi tu tufungweWakati uwanja wa Mkapa unazinduliwa, watanzania walijaa uwanjani na kuishangilia timu yao kwa bidii Sana.
Ghafla CCM mkaanza kuyafanya mafanikio ya Taifa stars kuwa ni mafanikio ya chama chenu. Hapo mamilioni ya watanzania timu yao wenyewe ikawatumbukia nyongo.
Sasa jumanne ya tarehe 19/11/2024 ni siku muhimu kwa Taifa Stars. CCM mna gundu na hii timu yetu, kaeni nayo mbali ili tusonge mbele.
Mambo ya kutumbukiza mazingaombwe ya chama chenu kwenye mechi hiyo, HATUTAKI.
Ya Balthazar nl Equatorial Guinea makao makuu yake ni malabo hii tunayocheza nayo mji Mkuu wake ni Conakry.Samahani jamani naomba kuuliza, Guinea hii ndio ile ya Beltazar???
Unaingia bure na kushangilia hushangilii😆😃😀Kesho naenda kuishangilia guinea
Ah siingìi kabisa kwan!a TMK kwenyewe fujo fujo tuUnaingia bure na kushangilia hushangilii😆😃😀
Wale wabeba mabango ya mama watakurarua🏃🏃