CCM mechi ya Taifa Stars na Guinea msilete mambo yenu uwanjani

CCM mechi ya Taifa Stars na Guinea msilete mambo yenu uwanjani

Wakati uwanja wa Mkapa unazinduliwa, watanzania walijaa uwanjani na kuishangilia timu yao kwa bidii Sana.

Ghafla CCM mkaanza kuyafanya mafanikio ya Taifa stars kuwa ni mafanikio ya chama chenu. Hapo mamilioni ya watanzania timu yao wenyewe ikawatumbukia nyongo.

Sasa jumanne ya tarehe 19/11/2024 ni siku muhimu kwa Taifa Stars. CCM mna gundu na hii timu yetu, kaeni nayo mbali ili tusonge mbele.

Mambo ya kutumbukiza mazingaombwe ya chama chenu kwenye mechi hiyo, HATUTAKI.
Tujiandae kisaikolojia tu. Kwa mpira wa juzi wale jamaa hatutoboi.
 
Guinea SI ndio kwa kina Baltazar Engonga? Mtu mbad sana yule jamaa.

Niko pamoja nao ushindi kesho muhimu
 
Enzi za Blatter alikuwa hataki huu Upuuzi...
 
Wakati uwanja wa Mkapa unazinduliwa, watanzania walijaa uwanjani na kuishangilia timu yao kwa bidii Sana.

Ghafla CCM mkaanza kuyafanya mafanikio ya Taifa stars kuwa ni mafanikio ya chama chenu. Hapo mamilioni ya watanzania timu yao wenyewe ikawatumbukia nyongo.

Sasa jumanne ya tarehe 19/11/2024 ni siku muhimu kwa Taifa Stars. CCM mna gundu na hii timu yetu, kaeni nayo mbali ili tusonge mbele.

Mambo ya kutumbukiza mazingaombwe ya chama chenu kwenye mechi hiyo, HATUTAKI.
Hiyo lazima babu, si utawaona.
 
Wakati uwanja wa Mkapa unazinduliwa, watanzania walijaa uwanjani na kuishangilia timu yao kwa bidii Sana.

Ghafla CCM mkaanza kuyafanya mafanikio ya Taifa stars kuwa ni mafanikio ya chama chenu. Hapo mamilioni ya watanzania timu yao wenyewe ikawatumbukia nyongo.

Sasa jumanne ya tarehe 19/11/2024 ni siku muhimu kwa Taifa Stars. CCM mna gundu na hii timu yetu, kaeni nayo mbali ili tusonge mbele.

Mambo ya kutumbukiza mazingaombwe ya chama chenu kwenye mechi hiyo, HATUTAKI.
kkkkkkkk....CCM a.k.a ANDAZI wasivyopenda maendeleo ya stars basi watakuja na kimbelembele kwenye hii game mradi tu tufungwe
 
Samahani jamani naomba kuuliza, Guinea hii ndio ile ya Beltazar???
Ya Balthazar nl Equatorial Guinea makao makuu yake ni malabo hii tunayocheza nayo mji Mkuu wake ni Conakry.
 
Back
Top Bottom