Uchaguzi 2020 CCM mkituonyesha hivyo viwanda 8477 kura zote zenu

Uchaguzi 2020 CCM mkituonyesha hivyo viwanda 8477 kura zote zenu

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari waungwana!

Ni dhahiri shahiri kuwa siasa za Afrika zina utofauti na mataifa mengine nje ya Afrika.

Kuna dhihaka na kebehi moja inafanywa na viongozi wa CCM juu ya wananchi. Dar es salaam ndio mji wa kibiashara lakini kila nikizunguka sioni hivyo viwanda vipya. Ukikaa pale Mbezi Mwisho huoni malori yanayoingiza bidhaa kutoka katika viwanda vya mikoani kuja Dar es salaam sokoni.

Hivi viwanda ambavyo waziri mwezi may Bungeni alitangaza kuwa viko mia kila mbona hatuvioni?

Kama wananchi wa Tanzania wataipa kura ccm bila kuonyeshwa hivi viwanda basi pasi na shaka hao wananchi watakuwa na mental disorder.

Uchaguzi 2020, onyesha viwanda upewe kura.
 
Mwijage alimudu sana wizara viwanda.Ulaaniwe mzimu wa koroshow
 
Habari waungwana!

Ni dhahiri shahiri kuwa siasa za Afrika zina utofauti na mataifa mengine nje ya Afrika.

Kuna dhihaka na kebehi moja inafanywa na viongozi wa CCM juu ya wananchi. Dar es salaam ndio mji wa kibiashara lakini kila nikizunguka sioni hivyo viwanda vipya. Ukikaa pale Mbezi Mwisho huoni malori yanayoingiza bidhaa kutoka katika viwanda vya mikoani kuja Dar es salaam sokoni.

Hivi viwanda ambavyo waziri mwezi may Bungeni alitangaza kuwa viko mia kila mbona hatuvioni?

Kama wananchi wa Tanzania wataipa kura ccm bila kuonyeshwa hivi viwanda basi pasi na shaka hao wananchi watakuwa na mental disorder.

Uchaguzi 2020, onyesha viwanda upewe kura.
elfu 8 vyote vya nini baba watuonyeshe viwanda vipya 500 tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano mie Nina vyerehani vinne (4), kiwanda tayari. Kwa hiyo, mimi nina kiwanda usinione nazuga humu JF.
Ni kiwanda ndio.Kaangalie wenye vyerehani vinne walivyotengeneza pesa kipindi hiki cha corona kwa kushona barakoa na kuuzia machinga kwa bei ya jumla na kusafirisha mawilayani na minadani walivyopiga pesa.Watu walipata ajira kibao mafundi wakifanya kazi kwa shift ya masaa nane nane kukaa kwenye cherehani wakishona barakoa masaa 24 kwa siku.Cherehani moja ilitoa ajira ya watu watatu kwa kazi ya masaa 24 kwa cherehani nne zilitoa ajira kwa mafundi ushonaji 12 kwa siku

AU wewe kiwanda unataka kiweje mfano? Kwa upumbavu ulionao kichwani kwako
 
Ni kiwanda ndio.Kaangalie wenye vyerehani vinne walivyotengeneza pesa kipindi hiki cha corona kwa kushona barakoa na kuuzia machinga kwa bei ya jumla na kusafirisha mawilayani.
Jiwe hataki barakoa, anaona wenye vyerehani watafaidi kwa kuwa watatajirika fasta, na yeye hataki matajiri.

Kwa upumbavu ulionao kichwani kwako
Acha matusi, ligi ya matusi huiwezi. Sijamtusi mtu, ila naona unaanza kuleta dharau za reja reja.
 
Habari waungwana!

Ni dhahiri shahiri kuwa siasa za Afrika zina utofauti na mataifa mengine nje ya Afrika.

Kuna dhihaka na kebehi moja inafanywa na viongozi wa CCM juu ya wananchi. Dar es salaam ndio mji wa kibiashara lakini kila nikizunguka sioni hivyo viwanda vipya. Ukikaa pale Mbezi Mwisho huoni malori yanayoingiza bidhaa kutoka katika viwanda vya mikoani kuja Dar es salaam sokoni.

Hivi viwanda ambavyo waziri mwezi may Bungeni alitangaza kuwa viko mia kila mbona hatuvioni?

Kama wananchi wa Tanzania wataipa kura ccm bila kuonyeshwa hivi viwanda basi pasi na shaka hao wananchi watakuwa na mental disorder.

Uchaguzi 2020, onyesha viwanda upewe kura.
Machinga, bodaboda na mama lishe
 
Ni kiwanda ndio.Kaangalie wenye vyerehani vinne walivyotengeneza pesa kipindi hiki cha corona kwa kushona barakoa na kuuzia machinga kwa bei ya jumla na kusafirisha mawilayani na minadani walivyopiga pesa.Watu walipata ajira kibao mafundi wakifanya kazi kwa shift ya masaa nane nane kukaa kwenye cherehani wakishona barakoa masaa 24 kwa siku.Cherehani moja ilitoa ajira ya watu watatu kwa kazi ya masaa 24 kwa cherehani nne zilitoa ajira kwa mafundi ushonaji 12 kwa siku

AU wewe kiwanda unataka kiweje mfano? Kwa upumbavu ulionao kichwani kwako
Kwa akili ya lumumba ni viwanda
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wako busy na.......
09886.jpg
 
Back
Top Bottom