Uchaguzi 2020 CCM mkituonyesha hivyo viwanda 8477 kura zote zenu

Uchaguzi 2020 CCM mkituonyesha hivyo viwanda 8477 kura zote zenu

Alivyowafanyia watumishi hakika Mungu yupo.Miaka yote 5 ni kapa huku wakidhalilika kwa hali ngumu ya maisha huko mtaani.Poleni walimu,madaktari,wauguzi etc
 
Hata wasipokuonyesha haidhuru, na istoshe, ninyi Chadema mlihamasishana kipindi kile kwamba hakuna haja ya kujiandikisha kupiga Kura Kwa sababu zenu mlizozitaja,

Na sasa mnaingia kwenye uchaguzi, na mmewahamasisha kina Lisu wachukue fomu za uraisi, je Kura atawapigia Nani?
 
Hata wasipokuonyesha haidhuru, na istoshe, ninyi Chadema mlihamasishana kipindi kile kwamba hakuna haja ya kujiandikisha kupiga Kura Kwa sababu zenu mlizozitaja,

Na sasa mnaingia kwenye uchaguzi, na mmewahamasisha kina Lisu wachukue fomu za uraisi, je Kura atawapigia Nani?
Nawewe mpiga porojo wa mtandaoni huko Lumumba wanakuhesabu kama kiwanda
 
Habari waungwana!

Ni dhahiri shahiri kuwa siasa za Afrika zina utofauti na mataifa mengine nje ya Afrika.

Kuna dhihaka na kebehi moja inafanywa na viongozi wa CCM juu ya wananchi. Dar es salaam ndio mji wa kibiashara lakini kila nikizunguka sioni hivyo viwanda vipya. Ukikaa pale Mbezi Mwisho huoni malori yanayoingiza bidhaa kutoka katika viwanda vya mikoani kuja Dar es salaam sokoni.

Hivi viwanda ambavyo waziri mwezi may Bungeni alitangaza kuwa viko mia kila mbona hatuvioni?

Kama wananchi wa Tanzania wataipa kura ccm bila kuonyeshwa hivi viwanda basi pasi na shaka hao wananchi watakuwa na mental disorder.

Uchaguzi 2020, onyesha viwanda upewe kura.
Hivyo viwanda 8000 labda vya majungu,ubinafsi,roho mbaya,ufisadi,kukwapua pesa za watu,kuwapa matajiri ML.
Hata kiwanda cha kiluwa steel alikizindua tu,kimejengwa enzi ya jk
 
Hata wasipokuonyesha haidhuru, na istoshe, ninyi Chadema mlihamasishana kipindi kile kwamba hakuna haja ya kujiandikisha kupiga Kura Kwa sababu zenu mlizozitaja,

Na sasa mnaingia kwenye uchaguzi, na mmewahamasisha kina Lisu wachukue fomu za uraisi, je Kura atawapigia Nani?
Wananchi
 
Back
Top Bottom