Uchaguzi 2020 CCM mkituonyesha hivyo viwanda 8477 kura zote zenu

Alivyowafanyia watumishi hakika Mungu yupo.Miaka yote 5 ni kapa huku wakidhalilika kwa hali ngumu ya maisha huko mtaani.Poleni walimu,madaktari,wauguzi etc
 
Hata wasipokuonyesha haidhuru, na istoshe, ninyi Chadema mlihamasishana kipindi kile kwamba hakuna haja ya kujiandikisha kupiga Kura Kwa sababu zenu mlizozitaja,

Na sasa mnaingia kwenye uchaguzi, na mmewahamasisha kina Lisu wachukue fomu za uraisi, je Kura atawapigia Nani?
 
Nawewe mpiga porojo wa mtandaoni huko Lumumba wanakuhesabu kama kiwanda
 
Hivyo viwanda 8000 labda vya majungu,ubinafsi,roho mbaya,ufisadi,kukwapua pesa za watu,kuwapa matajiri ML.
Hata kiwanda cha kiluwa steel alikizindua tu,kimejengwa enzi ya jk
 
Wananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…