CCM mlichokifanya kwenye mkutano wenu wa tarehe 17-18 Januari 2025 ni kuwatukana Watanzania

CCM mlichokifanya kwenye mkutano wenu wa tarehe 17-18 Januari 2025 ni kuwatukana Watanzania

Annunaki

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2021
Posts
2,042
Reaction score
3,674
Mkutano wa CCM uliofanyika tarehe 17 hadi 18 Januari mwaka huu ulikuwa ni kituko cha mwaka na kuwatukana watanzania.

Watu wananuka shida, maisha ni magumu kila kona, lakini CCM hawakuona aibu kutumia mabilioni ya watanzania walipa kodi, kusomba watu, wasanii, watangazaji, vyombo vya habari vyote ili wakusanyike Dodoma kwa ajili ya kusomewa jina la makamu mwenyeketi wa chama.

Ni uchungu sana kwa nchi kama hii, kutumia pesa za Watanzania vibaya namna ile, hakukuwa na ulazima kabisa, mungeitana wajumbe tu ingetosha.

Imeniuma sana kuona Watanzania tunachezewa namna ile.

Watanzania tukajiandikishe kupiga kura, tufanye mabadiliko ya utawala, hii hali ni mbaya sana, yaani CCM ni inatuburuza tu.
 
Mkutano wa CCM uliofanyika tarehe 17 hadi 18 Januari mwaka huu ulikuwa ni kituko cha mwaka na kuwatukana watanzania.

Watu wananuka shida, maisha ni magumu kila kona, lakini ccm hawakuona aibu kutumia mabilioni ya watanzania walipa kodi, kusomba watu, wasanii, watangazaji, vyombo vya habari vyote ili wakusanyike Dodoma kwa ajili ya kusomewa jina la makamu mwenyeketi wa chama.

Ni uchungu sana kwa nchi kama hii, kutumia pesa za watanzania vibaya namna ile, hakukuwa na ulazima kabisa, mungeitana wajumbe tu ingetosha.

Imeniuma sana kuona watanzania tunachezewa namna ile.

Watanzania tukajiandikishe kupiga kura, tufanye mabadiliko ya utawala, hii hali ni mbaya sana, yaani CCM ni inatuburuza tu.
nchi hii hakuna kitu kinaitwa ccm bali policcm. maana yake nchi hii inaongozwa na police.
siku wakiiletea jeuri ccm basi ndio mwisho wa hiki chama cha mazombi a.k.a ccm
 
Mkutano wa CCM uliofanyika tarehe 17 hadi 18 Januari mwaka huu ulikuwa ni kituko cha mwaka na kuwatukana watanzania.

Watu wananuka shida, maisha ni magumu kila kona, lakini CCM hawakuona aibu kutumia mabilioni ya watanzania walipa kodi, kusomba watu, wasanii, watangazaji, vyombo vya habari vyote ili wakusanyike Dodoma kwa ajili ya kusomewa jina la makamu mwenyeketi wa chama.

Ni uchungu sana kwa nchi kama hii, kutumia pesa za Watanzania vibaya namna ile, hakukuwa na ulazima kabisa, mungeitana wajumbe tu ingetosha.

Imeniuma sana kuona Watanzania tunachezewa namna ile.

Watanzania tukajiandikishe kupiga kura, tufanye mabadiliko ya utawala, hii hali ni mbaya sana, yaani CCM ni inatuburuza tu.
Hapo kwenye kujiandikisha ndo muhimu
 
Mkutano wa CCM uliofanyika tarehe 17 hadi 18 Januari mwaka huu ulikuwa ni kituko cha mwaka na kuwatukana watanzania.

Watu wananuka shida, maisha ni magumu kila kona, lakini CCM hawakuona aibu kutumia mabilioni ya watanzania walipa kodi, kusomba watu, wasanii, watangazaji, vyombo vya habari vyote ili wakusanyike Dodoma kwa ajili ya kusomewa jina la makamu mwenyeketi wa chama.

Ni uchungu sana kwa nchi kama hii, kutumia pesa za Watanzania vibaya namna ile, hakukuwa na ulazima kabisa, mungeitana wajumbe tu ingetosha.

Imeniuma sana kuona Watanzania tunachezewa namna ile.

Watanzania tukajiandikishe kupiga kura, tufanye mabadiliko ya utawala, hii hali ni mbaya sana, yaani CCM ni inatuburuza tu.
Acha waendelee kujianika hadharani ili watu wazidi kufunguka na kutambua utapeli wao.
 
Watu wananuka shida, maisha ni magumu kila kona, lakini CCM hawakuona aibu kutumia mabilioni ya watanzania walipa kodi, kusomba watu, wasanii, watangazaji, vyombo vya habari vyote ili wakusanyike Dodoma kwa ajili ya kusomewa jina la makamu mwenyeketi wa chama.
Watakwambia hela hizo zinatoka kwenye mfuko wa Chama
 
Pesa ni za kwetu watanzania, hamna cha pesa ni za CCM pale. Watanzania sijui tumekubalije kuburuzwa namna hii.

Ni muda wa kufanya mabadiliko, tujiandikishe kupiga kura.
Wasimamizi wa hizo kura si ni wao wenyewe au hao wasimamizi wanatoka wapi Botswana?
 
Mkutano wa CCM uliofanyika tarehe 17 hadi 18 Januari mwaka huu ulikuwa ni kituko cha mwaka na kuwatukana watanzania.

Watu wananuka shida, maisha ni magumu kila kona, lakini CCM hawakuona aibu kutumia mabilioni ya watanzania walipa kodi, kusomba watu, wasanii, watangazaji, vyombo vya habari vyote ili wakusanyike Dodoma kwa ajili ya kusomewa jina la makamu mwenyeketi wa chama.

Ni uchungu sana kwa nchi kama hii, kutumia pesa za Watanzania vibaya namna ile, hakukuwa na ulazima kabisa, mungeitana wajumbe tu ingetosha.

Imeniuma sana kuona Watanzania tunachezewa namna ile.

Watanzania tukajiandikishe kupiga kura, tufanye mabadiliko ya utawala, hii hali ni mbaya sana, yaani CCM ni inatuburuza tu.
 

Attachments

  • 5938169-3f8437b06df44d0a7c8b8e175f481762.mp4
    23 MB
Back
Top Bottom